• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WENYEVITI WA VITONGOJI 886 WAPATIWA MAFUNZO YA KUONGEZA UWELEWA JUU YA UWAJIBIKAJI

Posted on: December 17th, 2024


Jumla ya Wenyeviti wa Vitongoji 886 kutoka kwenye Vijiji 166, Kata 34, tarafa 5 Halmashauri ya Wilaya Masasi Mkoani Mtwara wamepatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo katika utendaji wa kazi.


Mafunzo hayo ambayo ni ya Siku mbili pekee yametolewa rasmi na Wawezeshaji kutoka Chuo Cha Serikali za Mitaa kilichopo jijini Dodoma ambapo Jana katika Siku ya Kwanza mafunzo yamewalenga  Wenyeviti wa Vijiji 166 na kuhitimishwa leo hii tarehe 17/12/2024 huku nao walengwa wakuu wakiwa ni Wenyeviti wa vitongoji.

Akifungua mafunzo hayo leo Dec 17,2024 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Masasi Bi Beatrice Mwinuka ambaye ndiye mgeni rasmi Katika mafunzo hayo ya wenyeviti wa vitongoji amesema kwamba mafunzo hayo kwao ni muhimu Sana kwasababu wao tayari ni viongozi na Wananchi wanatambua kuwa wenyeviti hao wanajua kila kitu na Ndio maana Serikali imeona ipo haja yakuwaletea  wawezeshaji ili wawapatie mafunzo elekezi ambayo yanaenda kuwa kielelezo kwa watu wanaowazunguka na kuwaamini kwa jambo lolote litakalotokea huko vitongojini basi wawe na majibu mazuri.

"Nimefurahi Sana kuonana na nyie, hongereni sana kwa ushindi , mlikuwa kwenye uchaguzi na mwisho wa siku mkaibuka washindi hivyo kilichonileta hapa ni kuja kuongea na nyinyi lakini pia kuwaeleza umuhimu wa mafunzo haya ambayo yanatolewa, tukihamasisha Jana kwa wenyeviti wa vijiji na leo tunamalizia Kwenu wenyeviti wa vitongoji maana katika utendaji kazi ni vizuri mkapewa maelekezo ya nini mnakwenda kukifanya, nini  mnatakiwa kukisimamia na nini mnatakiwa kukitekeleza  ili kusaidia kupunguza migogoro na kuhudumia Jamii kwa ujumla."


Mwinuka ameendelea kusema kuwa" Sisi ni viongozi katika vitongoji na tunaamini kwamba ukishachaguliwa kuwa kiongozi lazima wewe uwasimamie watu wako, ninachokiomba tuyaelewe haya mafunzo.


Bw. Enock Richard Halinga ni Mwenyekiti wa muda katika mafunzo hayo ametumia fursa hiyo kuwaomba viongozi hao waliopata mafunzo hayo kuwa waadilifu, kwasababu uadilifu unaanzia Nyumbani kwao, kwenye Jamii, kitongojini n.k , "naomba sana tuwe waadilifu nyakati zote na hasa katika heshima ya kuvaa vizuri Kama Watumishi wa umma kwasababu unaenda kuwatumikia Wananchi twendeni tukae waadilifu kuanzia mavazi,

na tabia ya kunywa pombe kupitiliza haitakiwi kwasababu wewe ni kiongozi Kuna mambo mengine yatatokea kwenye eneo lako nyakati za usiku utashindwa kuyatatua na wewe ndio kiongozi wetu ".


Dkt.Danford Sanga  ni Mkurugenzi wa Taaluma- huduma saidizi ambaye ndiye wawezeshaji kutoka Chuo Cha Serikali za Mitaa Dodona amesema " leo tupo hapa Masasi kwaajili ya kuendesha mafunzo kwa wenyeviti wa vijiji/Mitaa/ Vitongoji ili kuwajengea uwezo wa uwajibikaji wawapo kazini, Sisi Chuo Cha Serikali za Mitaa ndio wenye jukumu kubwa la Serikali kwa ajili yakuwajengea uwezo huo".


*Kwaiyo tumetawanyika katika Halmashauri zote katika nchi hii , sio sisi tu bali Wataalamu wetu kutoka Chuo Cha Serikali za Mitaa wakishirikiana pamoja na Ofisi ya Rais kwenda kuwajengea uwezo viongozi wote walioshinda kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.,hili ndio Lengo kubwa la Sisi kuwepo.hapa."

Amesema zipo mada mbalimbali zaidi ya 9 zimefundishwa ikwemo sheria za Serikali za Mitaa, mafunzo juu ya utendaji wa wenyeviti wa Mitaa  pamoja na ushirikiano kwa Watumishi, wadau, Watendaji wengine, Usimamizi wa Fedha, Usimamizi wa miradi n.k.

Bi.Amina Manyanga, Omari Muhere Pamoja na Christina Lucas ni miongoni mwa washiriki katika mafunzo hayo ambapo pamoja na kuiomba Serikali iangalie Namna bora ya kuwashika mikono wenyeviti wa vitongoji (Posho)  ili kuipa thamani nafasi hiyo kwasababu zipo kazi nyingi hufanywa na wenyeviti wa vitongoji lakini hawalipwi chochote,  pia wamewashukuru waaandaji wa mafunzo hayo Kwa Kutoa Elimu ya uwajibikaji, mawasiliano, nishamu , suala la utunzaji wa siri n.k ambapo wengi baadhi yao ni Wenyeviti wapya hivyo kupitia mafunzo haya yamewapa mwanga Kujua namna ya kuongoza kwa kufuata misingi ya sheria iliyowekwa,.


17/12/2024

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa