• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Ujenzi

1.0 UTANGULIZI:

Idara hii ina vitengo vitatu ambavyo ni barabara,Majengo,Mitambo,Umeme na Magari.

Idara ina jumla ya watumishi kumi wenye ajira za kudumu,ambao ni Wahandisi watatu (3), Fundi sanifu ujenzi watano (5),Fundi sanifu umeme mmoja (1),Fundi sanifu magari mmoja (1)

Pia idara inajishughulisha na kusimamaia miradi mikubwa na midogo ya barabara na majengo.

1.1 DIRA NA MUELEKEO WA IDARA YA UJENZI.

idara inaendelea na itaendelea kusimamia miradi yote inayoipokea ikijumuisha miradi ya majengo na barabara kulingana na mingozo inayotolewa na road fund pamoja na ilani ya chama cha mapinduzi kwa kuzingatia usalama na ubora wa kazi.

2. MALENGO YA IDARA KATIKA UTOAJI WA HUDUMA.

Kuhakikisha miradi yote inayoifikia idara inasimamiwa kwa umakini kwa kuzingatia ubora,usalama katika miradi hiyo ili iendelee kuongeza kasi ya uchumi na manedeleo ya maeneo husika.

3. VITENGO VILIVYOPO NA MAJUKUMU YAKE

3.1 KITENGO CHA MAJENGO.

Idara inaendelea kusimamia miradi ya majengo mbalimbali ya Halmashauri ambayo inatekelezwa katika ngazi ya kata, vijiji na makao makuu ya wilaya.

KITENGO CHA UMEME, MAGARI NA MITAMBO.

Kupitia kitengo hiki idara inaendelea kufuatilia na kusimamia matengenezo mbalimbali ya magari ya halmashauri,mitambo mbalimbali iliyoko makao makuu na ile iliyoko katika kata na vijiji vyetu,pia kufanya matengenezo mbalimbali ya mifumo ya umeme katika majengo na miradi ya halmashauri kama inavyoonekana.

 

KITENGO CHA BARABARA

Kupitia kitengo hiki idara inaendelea kufuatilia na kusimamia miradia ya barabra ikijumuisha matengenezo ya kawaida,matengenezo ya sehemu korofi,matengenezo ya muda maalumu pia idara inaendelea kusimamia miradi mbalimbali ya madaraja iliyopo ndani ya halmashauli yetu.

4.MAJUKUMU YA IDARA KWA UJUMLA.

Kusimamia shughuli zote zinazo husu ujenzi ikijumuisha usimamizi,uaandaaji wa makadilio ya  miradi tunayoipokea ambayo ni miradi ya barabara na majengo.

Katika miradi ya barabara idara inajukumu la kusimamia na kuandaa makadilio ya matengenezo ya muda maalumu,matengenezo ya kawaida,matengenezo ya sehemu korofi.

Katika miradi ya majengo idara inajukumu la kusimamia miradi hiyo pia kwa miradi midogo idara ianaandaa makdilio ya miradi hiyo.

3.AINA ZA HUDUMA ZINAZOTOLEWA KWA JAMII MARA KWA MARA

  1. Kutoa ushauri wa ujenzi vijijini.
  2. Kuhamasisha wananchi katika utendaji kazi za kujitolea, mfano matengenezo ya sehemu korofi,ujenzi wa madarasa,zahanati n.k.
  3. Kuaandaa makadililio ya miradi mikubwa na midogo ikijumuisha majengo na barabara.
  4. Kusimamia miradi yote ikijumuisha majengo na barabara.

4. IDADI YA WATUMISHI NA NAMBA ZAO.

na
JINA
CHEO

 

1

Eng.aloyce Nombo
Mhandisi

2
Eng.Brown Ondule
Mhandisi

3
Eng.Willium Tighawa
Mhandisi

4
Pendo Haule
Fundi sanifu i-barabara

5
Ramadhani N.Abdala
Fundi sanifu ii-barabara

6
Edward M.Chacha
Fundi sanifu ii-barabara

7
John E.Kimario
Fundi sanifu ii-barabara

8
Filbert Machesha
Fundi sanifu ii-umeme

9
Lukia Namwalia
Fundi sanifu i-rangi

10
Deogratius Pail
Fundi sanifu ii-mitambo

 

 

6.MIONGOZO NA SERA MBALIMBALI INAYOTUMIWA NA IDARA NA VITENGO KATIKA KUTEKELEZA MAJUKUMU YA KILA SIKU.

Idara inafanya kazi kufuata miongozo na sera  inayotolewa na bodi ya barabara kwa  kazi za barabara na miongozo inayotolewa na wizara husika kwa kazi za majengo pia kwa kufuata sera na ilani ya chama cha mapinduzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA NeST NA SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

    March 12, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM WILAYA YA MASASI YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    March 06, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YANATOA FURSA KILA MMOJA KUJUA HAKI YAKE YA MSINGI: MHE MAJALIWA

    March 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa