• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NDWIKA: MRADI HUU WA MABWENI MAWILI TUMEPATA FAIDA YA KUPUNGUZA MLUNDIKANO WA WANAFUNZI MABWENINI.

Posted on: January 16th, 2026

Imeelezwa kuwa Ujenzi wa Mabweni mawili ya Wasichana katika shule ya Sekondari ya Wasichana Ndwika iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara imepunguza mlundikano wa Wanafunzi mabwenini na hivyo kuongeza ari na motisha kwa Wanafunzi wa kike katika kujifunza.

Mradi pia umelenga kuboresha usalama, kupunguza utoro na kuimarisha ufaulu kwa kuwaweka karibu na shule.


Aidha ujenzi huu  ni juhudi za serikali za kuhakikisha elimu bora na jumuishi kwa wote hasa kwa watoto wa kike.

Bi.Amina Bakari ni Mkuu wa shule ya Sekondari ya Wasichana Ndwika katika risala yake aliyoitoa jana tarehe 15 Januari 2026, mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe.Kanali Patrick Sawala alipowasili shuleni hapo katika ziara yake ya kutembelea na kukagua hali ya Miundombinu ya Shule na uripoti wa wanafunzi mashuleni, ambapo amesema shule hiyo ni ya kidato cha tano na sita ni kongwe na miundombinu yake mingi ya zamani hivyo uwepo wa mabweni hayo yamesaidia kuwaondoa Wanafunzi kutumia miundo mbinu hatarishi zaidi kwa maisha yao.

Amesema tarehe 16 Oktoba 2024 shule hiyo ilipokea fedha kiasi cha Shilingi milioni 256 kwa ajili ya ujenzi wa Mabweni mawili kwa Wanafunzi 80 kupitia mradi wa SEQUIP ambao una lengo la kutanua wigo wa nafasi ya kupata elimu ya pili ya juu kwa Wanafunzi wa kike hapa nchini.


"Kwa hatua hii napenda kutoka shukrani kwa mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuekuboresha Mazingira ya kujifunza na kufundishia mashuleni katika Halmashauri yetu ya Wilaya ya Masasi "

Hata hivyo ifahamike kuwa mradi huu umekamilika tangu tarehe 31/03/2025 na kuanza kutumika mwezi julai 2025 mara baada ya kupokea wanafunzi wapya wa kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2025/2026

Shule ya Sekondari ya Wasichana Ndwika ina jumla ya Wanafunzi 696 kati ya hao kidato cha tano wapo 356 na kidato cha sita wapo 340.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • NDWIKA: MRADI HUU WA MABWENI MAWILI TUMEPATA FAIDA YA KUPUNGUZA MLUNDIKANO WA WANAFUNZI MABWENINI.

    January 16, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI MASASI DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI NDG.ETANGA.

    December 03, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MASASI DC LAFUNGULIWA HUKU DIWANI WA KATA YA NDANDA MHE.BASHIRU MBONECHE AKICHAGULUWA KUWA MWENYEKITI MPYA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    December 03, 2025
  • MASASI DC YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA.

    November 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa