• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MASASI DC YAFANYA MKUTANO WA ROBO YA PILI WA BARAZA LA MADIWANI

Posted on: February 5th, 2026

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Masasi mapema jana tarehe 04 Februari 2026 limefanya Mkutano wa Baraza la Madiwani Robo ya Pili huku likisisitiza kuongezwa juhudi katika ukusanyaji na udhibiti wa Mapato .

Mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo uliopo Mbuyuni Masasi umelenga pia kupokea Taarifa za utekelezaji wa shughuli za Maendeleo za Halmashauri ngazi ya Kata, Kamati za kudumu za Halmashauri pamoja na TARURA, RUWASA NA NHIF.

Akiongoza Mkutano huo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi mhe.Bashiru Fakih Mboneche amesema ili kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuboresha huduma kwa wananchi ambao ndio waliowapa dhamana hiyo,  Waheshimiwa Madiwani wanatakiwa kuunganisha nguvu kwa pamoja  na watumishi wa Halmashauri kwa kuzingatia Sheria na kanuni.


Amesema ushirikiano huo pia utaimarisha usimamizi wa mapato na matumizi ambayo yataleta matokeo chanya ya kiuchumi na Kijamii.

"Madiwani na watumishi mnapaswa kufanya kazi kama timu moja, kwasababu wote tunatoa huduma moja kwa umma, pia Madiwani mnatakiwa kushirikiana na Watendaji wa kata/ vijiji kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati,

 na mkijenga Mazingira ya kuaminiana kwa amani kunaepusha upotevu wa muda na kuchochea maendeleo ya Halmashauri "

"Natoa rai, Madiwani sisi ndio Viongozi kwenye maeneo yetu, naomba tutenge muda kusimamia ipasavyo Miradi ya Maendeleo kwenye kata zetu, tumepewa dhamana, Uongozi tuliopewa kwenye kata zetu ninatamami wananchi tuwalipe mema kwa kusimamia yale maagizo yao, miradi ikija kwenye kata yako tenga muda nenda kaitembelee, isimamie, toa ushauri panapo bidi, msisubirie mpaka muda wa Baraza, naomba sana tufanye kazi kwa ushirikiano watumishi na Madiwani tuwe kitu kimoja  ili Halmashauri iendelee kukua kwa ukusanyaji wa Mapato na ukamilishwaji wa miradi bora  kwa wakati ..alisisitiza Mboneche


Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Ndg.Optatus Lusolela ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu ameendelea kulithibitishia Baraza hilo kuwa Ofisi ya Mkurugenzi imeendelea kufanya vikao na Wakuu wa Idara na Vitengo mbalimbali ili kuendelea kuweka mikakati madhubuti ya ukusanyaji na udhibiti wa mianya ya utoroshaji wa  mapato sanjari na kuibua vyanzo vipya vya mapato"

 Lusolela amewasisitiza watendaji hao kuhakikisha wanafanya kazi kwa bidii ili kuwaletea Wananchi Maendeleo kupitia makusanyo hayo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MASASI DC YAFANYA MKUTANO WA ROBO YA PILI WA BARAZA LA MADIWANI

    February 05, 2026
  • MKUU WA WILAYA YA MASASI AFUNGUA MAFUNZO KWA WAHESHIMIWA MADIWANI HUKU AKISISITIZA UWAJIBIKAJI WA PAMOJA.

    January 30, 2026
  • NDWIKA: MRADI HUU WA MABWENI MAWILI TUMEPATA FAIDA YA KUPUNGUZA MLUNDIKANO WA WANAFUNZI MABWENINI.

    January 16, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI MASASI DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI NDG.ETANGA.

    December 03, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa