• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI MASASI DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI NDG.ETANGA.

Posted on: December 3rd, 2025

Mkutano wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi ulioketi leo Disemba 03,2025 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo Mbuyuni Masasi,  umempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Ndg.Alphaxard Etanga na timu yake kwa kutekeleza kikamilifu shughuli zote za Maendeleo ambazo ziliachwa kipindi Baraza hilo  lilipovunjwa.

Wamesema kupitia taarifa yake ya utendaji kazi wa Halmashauri kuhusu kumbukumbu ya maamuzi ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri zilizofanyika kipindi ambacho Baraza lilivunjwa, wameridhishwa na taarifa hiyo ya utekelezaji .

" Tunakupongeza sana Mkurugenzi wetu na timu yako, kwa kazi nzuri mliyoifanya huku nyuma kipindi sisi hatupo, mmeweka bidii katika kutekeleza masuala tuliyo waachia tu maamuzi, kwakweli mmefanya kazi kubwa mnastahili pongezi".

Miongoni mwa shughuli hizo zilizofanywa katika kipindi hicho cha mpito kupitia vikao vya kisheria vya kila mwezi vya Menejimenti ya Halmashauri,

maamuzi mbalimbali yalijadiliwa na kutekelezwa ikiwemo Ununuzi wa basi 1 (TATA) kwa gharama ya Shilingi milioni 155 kwa ajili ya shughuli mbalimbali za Halmashauri, Kuhusishwa kwa mkataba wa upangishaji wa Jengo la Ofisi ya Halmashauri baina ya Benki ya NMB na Halmashauri ambapo licha ya kuongeza Mapato ya ndani pia itasaidia kuongeza huduma za kibenki na kutanua huduma za  kiuchumi n.k

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI MASASI DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI NDG.ETANGA.

    December 03, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MASASI DC LAFUNGULIWA HUKU DIWANI WA KATA YA NDANDA MHE.BASHIRU MBONECHE AKICHAGULUWA KUWA MWENYEKITI MPYA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    December 03, 2025
  • MASASI DC YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA.

    November 19, 2025
  • WAKUU WA DIVISHENI, VITENGO NA MAAFISA BAJETI WAPIGWA MSASA NAMNA YA UANDAAJI WA MIPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    November 18, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa