• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika

Idara ya kilimo, Umwagiliaji na Ushirika  ni moja kati ya Idara 13 za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Awali kabla ya mwaka wa fedha wa 2013/2014 Idara hii ilijulikana kama Idara  ya Kilimo, Maendeleo ya Mifugo na Ushirika ambapo Mkuu wa Idara alijulikana kama DALDO, kwa maana ya ‘District Agriculture and Livestock Development Officer’.

 KAZI/ MAJUKUMU YA IDARA

Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika ni moja ya Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya inajishughulisha na kumsaidia/ kumshauri Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Katika mambo yafuatayo:

1. Kuandaa mipango na bajeti ya miradi mbalimbali ya maendeleo ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika.

2. Kuratibu , Kutathimini na kufuatilia shughuli za huduma za ugani wilayani.

3. Kusimamia ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya umwagiliaji, maghala na masoko wilayani.

4. Kutoa elimu na kuhamasisha wakulima juu ya usimamizi na uendeshaji wa miradi ya umwagiliaji kwa maendeleo endelevu kwa kushirikiana na wadau wengine.

5. Kuongeza uzalishaji na tija kutokana na matumizi ya teknoloji bora zilizopatikiana.

6. Kuongeza ufanisi kwa kutumia zana bora zilizotokana na utafiti.

7. Kuzalisha aina za mbegu za daraja la kuazimiwa zenye mavuno mengi na bora ambazo pia zinastahimili ukame na visumbufu vya mimea na mazao.

8. Kushirikiana na wadau mbalimbali wanaojihusisha na utaafiti wa kilimo, Umwagiliaji na Ushirika na matumizi ya teknolojia husika.

9. Kuandaa taarifa na takwimu mbalimbali za maendeleo ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika.

10. Kuhamasisha kuwepo kwa viongozi wa ushirika wanaowajibika kwa wanachama na ambao ni wabunifu kibiashara.

11. Kujasirisha wanachama kwa kuwawezesha kupata elimu na stadi zinazohitajika ili waendeleze vyama vyao.

12. Kufanya ukaguzi wa hesabu za ndani za vyama vya ushirika na Saccos wilayani

13. Kuhimiza na kuhamasisha uanzishwaji na uendelezaji wa vyama vya ushirika vyenye nguvu za kiuchumi na endelevu.

14. Kuhimiza na kuwezesha mabadiliko katka mfumo wa vyama Ushirika vya Akiba na Mikopo na Benk za Ushirika ili vyombo hivyo viweze kuwahudumia wanachama kikamilifu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA NeST NA SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

    March 12, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM WILAYA YA MASASI YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    March 06, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YANATOA FURSA KILA MMOJA KUJUA HAKI YAKE YA MSINGI: MHE MAJALIWA

    March 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa