• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WENYEVITI WA VIJIJI/ MITAA WAPATIWA MAFUNZO YENYE LENGO LA KUWAJENGEA UWEZO KATIKA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO

Posted on: December 16th, 2024


Wenyeviti wa Vijiji/Mitaa takribani 166 kutoka kwenye Kata 34 za Halmashauri ya Wilaya Masasi wamepatiwa mafunzo yenye Lengo la kuwajengea uwezo katika kutekeleza majukumu Yao wanapowatumikia Wananchi.

Mafunzo hayo yametolewa Leo tarehe 16/12/2024 na Wakufunzi Kutoka Chuo Cha Serikali za Mitaa Cha jijini Dodoma, ambapo pamoja na kuwajumuisha wenyeviti wa vijiji/ Mitaa pia Watendaji wa Vijiji na Kata ambao ndio wasimamizi wakuu wa Shughuli za Maendeleo nao wameshiriki kwenye mafunzo hayo yaliyofanyikia katika viunga vya Shule ya Sekondari ya wasichana Masasi.


Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo Mkuu wa Wilaya ya Masasi mhe.Lauter Kanoni ambaye ndiye mgeni rasmi Katika Shughuli hiyo amesema kwamba " Kwanza Kabisa nawapongeza wenyeviti wote wapya kwa kuchaguliwa na hivyo nakipongeza Chama cha Mapinduzi (CCM ) kuwa katika Vijiji vyote 166 vya Halmashauri ya Wilaya Masasi kwenye Uchaguzi Chama cha Mapinduzi (CCM) kiliibuka kidedea, hongereni sana...."

Ameongeza kuwa kwasasa wenyeviti hao tayari wamekula kiapo na kiapo Chao kikubwa ni kuwatumikia Wananchi wote bila kujali dinj, kabila  wala Vyama vyao hivyo hatarajii kuona wanafanya hivyo na endapo watabainika basi watakuwa wamekosa sifa ya kuwa kiongozi Bora.

Aidha suala la utunzaji  wa siri nalo limesisitizwa hapa ambapo mhe.Mkuu wa Wilaya amesema ukishakuwa  kiongozi lazima utunze Siri, inawezekana Wananchi mbalimbali wakaleta malalamiko Yao, na mengine inawezekana yanahusu  masuala ya ndoa hivyo Kama mwenyekiti hupaswi Kutoa Siri hadharani na Kwa  kufanya hivyo itakuwa ni sehemu ya kukosa maadili ya Uongozi na serikali ikikubaini ni Kweli unatoa Siri za Serikali hapo utakuwa umekosa sifa za kuwa kiongozi, na kwa mujibu wa sheria za Serikali za Mitaa Mkuu wa Wilaya nina mamlaka ya kumuondoa mwenyekiti , hakikisheni mnatunza Siri"..... alisisitiza mhe.Kanoni


Pia mhe.Kanoni akatumia fursa hiyo pia kuwakumbusha wenyeviti hao kuwa na desturi ya kuwasomea Wananchi taarifa ya Mapato na matumizi Kila baada ya miezi 3 kwani kutofanya hivyo ni moja ya sifa inayoweza ikakuondoa kwenye uongozi.

Amesema Katika Halmashauri ya Wilaya Masasi tatizo kubwa ambalo limeshamiri ni viongozi kutosoma taarifa za mapato na matumizi hivyo naagiza kuanzia sasa utaratibu huo ufuatwe Naye pia atafuatilia.


Nao kwa upande wao baadhi ya wenyeviti hao wamewashukuru wawezeshaji kwa kuwapatia mafunzo hayo ambayo kwa namna moja ama nyingine yamewapa mwanga mkubwa Kujua majukumu Yao ni yepi, kufahamu mipaka ya kazi zao n.k.

Jumla ya mada 09 zimewezesha kwa washiriki hao huku zikiwemo suala la Sheria za uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa, Miundo, majukumu na Madaraka ya vijiji, Mitaa,na Vitongoji, Uongozi na utawala bora , Uendeshaji wa vikao na mikutano katika ngazi za Vijiji, mitaa na vitongoji,Uibuaji, upangaji na usimamizi wa miradi Shirikishi ya kijamii, Usimamizi na udhibiti wa fedha katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, Usimamizi wa ununuzi, Usimamizi wa Ardhi na udhibiti wa uendelezaji miji  na mada ya tisa ni masuala mtambuka.

16/12/2024

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa