• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Watoto 38,923 wapatiwa matone ya vitamin A Halmashauri ya Wilaya Masasi

Posted on: August 15th, 2024

Watoto wapatao 38,923 kati ya 37,272 katika halmashauri ya Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara wamepatiwa matone ya vitamin A ambapo idadi hiyo ni sawa asilimia 104.4 ya Watoto wote ambao wamepatiwa huduma hiyo.

Hayo yamebainishwa jana tarehe 14/08/2024 na Afisa lishe wa halmashauri ya wilaya ya Masasi Bi.Irene Shaban wakati alipokuwa akisoma taarifa ya utekelezaji wa Afua za lishe robo ya nne Januari -April kwenye kikao cha lishe kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo iliyopo Mbuyuni Masasi.

Amesema kuwa halmashauri ya Wilaya ya Masasi katika zoezi la mwezi wa afya na lishe kwa mtoto lililofanyika mwezi Januari 2024 limeonyesha kuwa watoto 38,923 kati ya watoto 37,272 walipatiwa matone ya vitamin A ambapo ni sawa na asilimia 104.4 ya watoto wote waliopatiwa huduma hiyo katika Halmashauri ya Wilaya Masasi.

"Matokeo haya yametokana na elimu ya afya na lishe inayofanywa na halmashauri kupitia Idara ya afya na kwamba hata jamii pia nayo imeanza kuwa na elimu ya kutosha zaidi kuhusu afya na lishe.

Bw.Muhsin Kombo ni mwakilishi kutoka divisheni ya Maendeleo ya jamii  wa halmashauri hiyo naye amesema kuwa katika robo ya nne idara hiyo kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo ikiwemo sports development Aid imetoa mafunzo mbalimbali kwa Wanafunzi na wazazi/ walezi wa shule mbalimbali za sekondari ikiwemo shule ya Sekondari ya Namajani.

Amesema "elimu hii ya kuhimiza makundi katika jamii inazingatia zaidi lishe bora katika familia zao ambapo mfano tu Kuna yale mafunzo na elimu vilitolewa kupitia yale maadhimisho ya siku ya mtoto afrika mwaka huu 2024.

Amesema katika elimu hiyo jumla ya watu 105 wakiwemo wanaume 49 na wanawake 58 walifikiwa na kupatiwa elimu hiyo .

Naye Mganga mkuu wa Halmashauri hiyo Dkt.Ruben Mwakilima ametumia nafasi hiyo Kutoa  wito Kwa jamii kuwa na utamaduni wa kupima afya zao mara kwa mara Ili kujua mwenendo mzima wa afya zao na pale mtu anapobainika kuwa na magonjwa basi hatua za kupatiwa matibabu zianze kufanyika.

15/08/2024

@.. Masasi DC

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa