• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAPATAO 1,937 JIMBO LA NDANDA NA LULINDI WANOLEWA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

Posted on: October 26th, 2025

Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa vituo vya kupigia kura 1,937 Jimbo la Ndanda na Lulindi wametakiwa kuzingatia kanuni, taratibu na miongozo yote itakayotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi katika kipindi chote cha Uchaguzi Mkuu.

Hayo yamesemwa leo tarehe 26 Oktoba 2025 na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ndanda na Lulindi Ndg.Keneth Mgina wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku mbili kwa Wazimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa vituo vya kupigia kura yanayofanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Masasi, Ukumbi wa Migongo Sisters pamoja na Ukumbi wa Migongo Brothers.

Amesema kwa kuzingatia viapo vyao itasaidia wao kutokuwa vyanzo vya malalamiko kutoka kwa vyama vya siasa na kuwasihi kushirikiana na mawakala wa vyama vya siasa watakaokuwa vituoni kwa mujibu wa sheria.


"Dhamana mliyopewa ya kusimamia zoezi la kupiga kura na kuhesabu kura ni sehemu ya usimamizi na uratibu wa Uchaguzi wa Rais na wabunge wa Jamhuri ya Muungano na Madiwani kwa Tanzania Bara ni kubwa na nyeti na muhimu kwa mustakabali wa Taifa, hivyo kwa kutambua dhamana hii  mliyopewa na Tume mtambue kuwa kwasasa mnategemewa sana  kuzingatia Sheria, kanuni na maelekezo mtakayopewa hadi hapo tutakapokamilisha jukumu hili la uchaguzi mkuu,"......amesisitiza Mgina.

Mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa vituo vya kupigia kura Jimbo la Ndanda na Lulindi yanafanyika kwa muda wa siku mbili kuanzia leo tarehe 26 - 27, Oktoba 2025 huku yakiwashirikisha washiriki 1937 ambao wameteuliwa kwa ajili ya kufanya kazi katika vituo 623 vya Uchaguzi katika Jimbo la Ndanda na Lulindi.

"Kura Yako Haki Yako Jitokeze kupiga kura 

26/10/2025.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAPATAO 1,937 JIMBO LA NDANDA NA LULINDI WANOLEWA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 26, 2025
  • KURA YAKO HAKI YAKO JITOKEZE KUPIGA KURA.

    October 25, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA MGUU SAWA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025.

    October 25, 2025
  • KURA YAKO HAKI YAKO JITOKEZE KUPIGA KURA

    October 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa