• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAPATAO 1,937 JIMBO LA NDANDA NA LULINDI WAASWA KUZINGATIA MAADILI NA UZALENDO KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAO KATIKA KIPINDI CHA UCHAGUZI MKUU 1025

Posted on: October 27th, 2025

Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa vituo 1937  vya kupigia kura katika Jimbo la Ndanda na Lulindi , wameaswa kuzingatia maadili, uadilifu na uzalendo katika utekelezaji wa majukumu yao katika  kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani ambao unatarajia kufanyika siku ya Jumatano  tarehe 29 Oktoba 2025.


Akizugumza wakati akifunga mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa vituo vya kupigia kura Jimbo la Ndanda na Lulindi Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ndanda na Lulindi Ndg.Keneth Mgina amewataka wasimamizi na wasaidizi wa vituo vya kupigia kura ambao  wamepata mafunzo hayo  kuzingatia maelekezo yote  waliyopewa ili kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa ufanisi na kwa kufuata taratibu zilizopo. .


Amesema jukumu walilopewa ni la kuaminika na linahitaji umakini, uwadilifu na utiifu kwa miongozo ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, hivyo amewaasa  washiriki hao kuwa mfano wa kuigwa katika utekelezaji wa majukumu yao katika kipindi chote cha Uchaguzi Mkuu.


" Tume inawaagiza kupitia mafunzo mliyopewa tunahitaji mshirikiane na kuhakikisha Uchaguzi  Mkuu wa mwaka 2025 unafanyika kwa amani, utulivu na uwazi bila kuegemea chama chochote cha siasa.


"Jukumu la kusimamia uchaguzi ni dhamana kubwa na nyeti inayohitaji uadilifu, nidhamu na kufuata maelekezo ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na mnapaswa kutoa kipaumbele kwa wapiga kura wenye mahitaji maalumu watakapofika kituoni, kusimamia kiapo cha kutunza siri, na kuhakikisha taarifa zote za uchaguzi zinatolewa kupitia ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi pekee. Aliongeza kuwa watumishi hao wanawajibika kwa Tume na si kwa mtu mwingine.'


Aidha, Mgina  amewakumbusha Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wote kutambua kuwa katika kipindi chote cha uchaguzi hawapaswi kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa, na badala yake wajikite kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na kwa kuzingatia sheria na kanuni za uchaguzi.


“Ndugu washiriki, dhamana mliyopewa ya kusimamia zoezi la upigaji na kuhesabu kura ni kubwa na nyeti kwa mustakabali wa Taifa letu. Ni wajibu wenu kuzingatia sheria, kanuni na maelekezo mtakayopewa na INEC ili uchaguzi wa mwaka huu uwe wa amani na utulivu,” alisema Mgina.


Jumla ya Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa vituo vya kupigia kura wapatao 1937 kutoka

Jimbo la ndanda Na lulindi wanatarajia kusimamia Vituo vya kupigia kura 623 katika kata 34 za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi.

"Kura Yako Haki Yako Jitokeze kupiga kura."


27/ 10/ 2025 .

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAPATAO 1,937 JIMBO LA NDANDA NA LULINDI WAASWA KUZINGATIA MAADILI NA UZALENDO KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAO KATIKA KIPINDI CHA UCHAGUZI MKUU 1025

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAPATAO 1,937 JIMBO LA NDANDA NA LULINDI WANOLEWA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 26, 2025
  • KURA YAKO HAKI YAKO JITOKEZE KUPIGA KURA.

    October 25, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA MGUU SAWA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025.

    October 25, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa