• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI WILAYANI MASASI WASHEREHEKEA MIAKA 60 YA MUUNGANO KWA KISHINDO MIKA

Posted on: April 27th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara mhe.Kanali Patrick Sawala amesema, Mkoa wa Mtwara ni miongoni mwa mikoa iliyonufaika na matunda ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiwemo kuimarika kwa amani na utulivu ndani ya mkoa huo.


Matunda mengine ni kupiga hatua za kimaendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii, na kisiasa, huku  maendeleo haya yakitokana na mikakati mizuri iliyowekwa na Serikali kuanzia ngazi zote za uongozi iliopita hadi sasa kwani miradi mbalimbali ya maendeleo imetekelezwa na inaendelea kutekelezwa.

Amesema hayo  Jana mapema April 26,2024 katika sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambayo kwa Wilaya ya Masasi  yamefanyikia katika kijiji cha Nagaga kata ya Namalenga huku burudani mbalimbali kama vile kuvuta kamba, kukimbiza kuku,vikundi vya ngoma pamoja na nyimbo mbalimnali

 zikiipamba sherehe hizo.


Amesema "sherehe za mwaka huu ni maalumu na zakipekee kwani Tanzania inatimiza miaka 60 ya Muungano wetu kwa maana hiyo kwa watu waliozaliwa tarehe 26 April 1964 siku ambayo Muungano ulikuwa unaasisiwa maana yake leo kama ni Watumishi wanakuwa wanastaafu utumishi wa umma."


Aidha, Mhe.Sawala ameendelea kwa kusema kuwa "hatua hii inaonyesha kwamba Muungamo wetu umedumu muda mrefu hivyo tunayo sababu ya kindugu na kijiografia kwa Wananchi wa pande zote mbili za Muungano tunaendelea kuwakumbuka Viongozi wetu walioasisi Muungano wakiongozwa na Hayati baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyererena Shekhe Abeid Aman Karume, Mwenyezi Mungu awapumzishe kwa amani."


Ameongeza kuwa tunapoadhimisha miaka 60 ya Muungano, tuna kila sababu ya kujipongeza,kutafakari, kutathimi mafanikio ya mkoa wetu na kujikumbusha tulipotoka,tulipo sasa na tunapoelekea na huku tukirejea ule msisitizo wa mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan alipohutubia bunge la Jamhuri ya muungano w Tanzania tarehe 22 April 2021,alisisitiza kujenga nchi yetu kwa kuzingatia maridhiano, ustahimilivu, mabadiliko na kujenga upya nchi yetu hivyo msisitizo huu licha ya kutoa maono yakujenga nchi yetu unalenga pia kudumisha muungano,kuleta umoja bila kujali tofauti zetu za kisiasa,kidini na kikabila.


Hata hivyo ameendelea kuwaomba watanzania kuendelea kuisoma vizuri historia ya muungano na kujua asili yake, changamoto zake na namna zilivyotatuliwa ili kizazi cha sasa kiweze kuimarika .


Maadhimisho hayo kwa mwaka huu 2024 yameongozwa na kauli mbiu isemayo Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tumeshikamana na Tumeimarika kwa Maendeleo ya Taifa letu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa