• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VIONGOZI WA AMCOS WASIO NA SIFA WASIMAMISHWA KAZI

Posted on: July 18th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimisha Gelasius Byakanwa amewasimamisha kazi  baadhi ya Viongozi wa Vyama vya ushirikika  Wilaya za Masasi na Nnanyumbu Mkoani Mtwara waliokosa sifa  za kuendelea kufanaya kazi kwenye vyama hivyo ikiwemo waliosababisha madeni ya wakulima kwa msimu wa 2017/2018.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi mhe Juma  Satmah akitoa neno  mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa wakati wa kikao cha viongozi wa AMCOS kilicholenga kufanya tathimini ya mwenendo wa msimu wa korosho kwa mwaka 2017/2018

Byakanwa amewasimamisha kazi viongozi hao leo wakati wa kikao cha tathimini ya mwenendo wa uuzaji wa zao la korosho kwa msimu wa 2017/2018 mkoani humo na kuweka mipango kwa ajili ya msimu mpya wa korosho 2018/2019 ambapo unategemewa kuwa msimu ambao hautasababisha madeni ya malipo ya korosho kwa wakulima kwani kila mdau atapaswa kufanya kazi kwa kuzingatia kanuni na sheria zilizopo.

Viongozi wakifuatilia kwa makini kikao cha tathimini ya mwenendo wa msimu wa korosho kwa mwaka 2017/2018 

Akiongea kwenye kikao hicho, Byakanwa alieleza kuwa matatizo mengi ya korosho katika msimu wa korosho uliopita yalisababishwa na viongozi wa vyama vya Ushirika kutotekeleza wajibu wao wa uadilifu ambapo  baadhi walifanya ubadhilifu kwa makusudi, wizi wa fedha za wakulima, uzembe, na uelewa mdogo wa kuendesha vyama hali iliyopelekea wakulima wengi kutolipwa fedha zao.

“Tulisema wasiokuwa na sifa za kufanya kazi kwenye vyama vya ushirika waondolewe na sasa tunatekeleza, msimu ujao hautakuwa na matatizo “ alisema Byakanwa.

Kiongozi wa Amcos akieleza chanagamoto wananzokutana nazo zinazochangia matatatizo kipindi cha Msimu katika kikao cha tathimini ya mwenendo wa msimu wa korosho kwa mwaka 2017/2018 

Kwa msimu  2017/2018 Mkoa ulifanya jitihada za kuhakikisha wakulima wanaodai fedha zao za korosho wanalipwa ambapo viongozi wa vyama vya ushirika ambavyo havikuwalipa wakulima fedha zao walichukuliwa hatua za kisheria na kuhakikisha wanalipa madeni hayo kwa kuuza mali zao ikiwemo mashamba na  nyumba.

Aidha Byakanwa amewasisitiza viongozi watakaoendelea kufanya kazi kwenye vyama vya ushirika kwa msimu huu mpya 2018/2018 kuhakiksha makosa yaliyojitokeza katika msimu wa 2017/2018 hayatokei, hivyo wanapaswa kufanya kazi wa uadilifu mkubwa kwani Mkoa  hauko tayari kuona wakulima hawalipwi malipo yao.

Ili kuhakikisha msimu mpya wa korosho unaendeshwa vizuri, Mkuu wa Mkoa amejipangia utaratibu wa kufanya vikao na kuwekeana mikakati na wadau wote wa korosho wakiwemo viongozi wa vyama vya ushirika, vyama vikuu,  mabenki na wamiliki wa maghala ya kuhifadhia korosho ili  kuhakikisha biashara ya korosho inaenda vizuri hasa kuhakiksha mkulima anapata haki yake kwa wakati.

Viongozi wakifuatilia kwa makini majadiliano kwenye kikao cha tathimini ya musimu wa korosho 2017/2018

Kwa upande wao viongozi wa Vyama vya ushirika wamempongeza Mkuu wa Mkoa kwa jitihada zake za kuhakiksha viongozi waliosababisha madeni kwa wakulima wanachukuliwa hatua za kisheria za kuhakikisha wanarejesha fedha zote zilizopotea na kuwalipa wakulima jambo ambalo halijawahi kufanyika katika misimu ya nyuma.

“Kuna wakulima ambao hawakulipwa fedha zao kwa misimu ya nyuma lakini hakukuwa na jitihada zozote zilizofanyika kuhakikisha viongozi wabadhirifu wanarejesha fedha na kuwalipa wakulima , tunampongeza sana”

Viongozi wakifuatilia kwa makini majadiliano kwenye kikao cha tathimini ya musimu wa korosho 2017/2018


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa