• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MADIWANI MASASI DC WAPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 46.8 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/ 2027

Posted on: February 18th, 2026

MADIWANI  MASASI DC  WAPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoani MMtwara jana tarehe 17, Februari 2026 limepitisha Mapendekezo ya Rasimu ya Mpango wa Bajeti ya Halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ambapo Halmashauri inakadiria kukusanya na kutumia jumla ya shilingi bilioni 46.8 kutoka  vyanzo vyake mbalimbali na kutoka katika  ruzuku ya Serikali kuu.

Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri uliopo Mbuyuni Masasi na kuongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo mhe.Ismail Chilumba ambaye pia ni Diwani wa kata ya Chikundi ambapo pamoja na mambo mengine amehaidi kuendelea kusimamia ukusanyaji wa mapato na kubuni vyanzo vipya vya mapato ya ndani ili kuwezesha kutekelezwa kikamilifu miradi ya maendeleo ambayo imeainishwa katika vipaumbele muhimu kwenye mpango wa bajeti hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027.

Aidha bajeti kuu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2026/2027 imeongezeka kwa asilimia 1.01 na Mapato ya ndani yameongezeka kwa asilimia 1.07 ukilinganisha na bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026 .

Bw.Faraji Mandoa kutoka Idara ya Mipango na Uratibu Halmashauri ya Wilaya ya Masasi  akiwasilisha Rasimu ya Mpango wa Bajeti ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2026/2027 amesema katika kuandaa bajeti ya mwaka 2026/2027 yapo mambo muhimu yamezingatiwa ikiwemo ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kipindi cha mwaka 2025 - 2030, Sheria ya bajeti Na.11 ya mwaka 2015, Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2050, mpango wa Wilaya wa miaka mitano na sera za sekta mbalimbali.

Mambo mengine ni Malengo endelevu ya Maendeleo ya 2030, maelekezo na ahadi mbalimbali za viongozi wakuu wa kitaifa, kuanzisha Miradi ya kimkakati kwa ajili ya kuongeza Mapato ya Halmashauri, kutenga asilimia kumi ya mapato ya ndani kwa ajili ya mfuko wa Maendeleo Ya Wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Halmashauri pamoja na kujikita kwenye miradi inayolenga kuleta matokeo chanya yenye kugusa maisha ya Wananchi moja kwa moja pia imezingatia kukamilisha miradi viporo na kulipa madeni ya wazabuni kabla ya kuanzisha miradi mingine mipya.

Hata hivyo kulingana na mwongozo uliotolewa vipaumbele vya bajeti ya Halmashauri kwa Mwaka wa fedha 2026/2027 ni pamoja na

 ●Kuendeleza miradi ya kimkakati kwa ajili ya kuongeza Mapato ya Halmashauri kwa uendelezaji wa ghala la mazao mchanganyiko katika kata ya Lukuledi na Chiungutwa.


●Kuhimarisha na kusimamia ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri kwa kununua gari moja.


●Kuboresha vituo vya Afya viwili (Chikundi na Chikoropola, na kukamilisha Zahanati 2 katika vijiji vya Nantona na Mdenga).


●Kipaumbele kingine ni kuimarisha ulinzi na Usalama wa Raia na mali zao kwa kuendeleza vituo 2 vya Polisi katika Kata ya Chiwale na Mbuyuni.


●Kuboresha huduma za Mawasiliano na Jamii kwa kuendeleza Redio Jamii (Masasi Fm).


●Kuendeleza miradi ya kimkakati  ili kuongeza mapato ya Halmashauri kwa kujenga / kuboresha stendi ya Mabasi/ Hiace katika kata za Nanganga na Mbuyuni.


●Kukamilisha vyumba vya Madarasa 46, nyumba 3 za walimu na vyumba vinne vya maabara.


● Kupunguza uhaba wa watumishi kwa kuajiri watumishi wapya 750 kwa kada za Biashara na uwekezaji 6, Michezo na Utamaduni 2, TEHAMA 1, Afya 354 , Elimu Msingi 131, Elimu Sekondari 130, Wahasibu wasaidiI 1, Kilimo na Mifugo 43, Ujenzi 9, Usimamizi wa Manunuzi 3, Maendeleo ya Jamii 5 na Utawala 40.

Amesema uhaba huo wa watumishi umetokana na kuongezeka kwa vituo vya kutolea huduma kama vile Shule, Zahanati na watumishi wengine kustaafu utumishi wa Umma.

Kwa upande wao baadhi ya Madiwani waliochangia mjadala huo wametaka uwepo wa Usimamizi madhubuti ya miradi ili kuharakisha kukamilika kwa wakati miradi hiyo kwa manufaa ya Wananchi.

18/02/2026

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MADIWANI MASASI DC WAPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 46.8 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/ 2027

    February 18, 2026
  • MITI 3800 YAPANDWA KATIKA KAMPENI YA UPANDAJI WA MITI MASASI DC

    February 17, 2026
  • MASASI DC YAFANYA MKUTANO WA ROBO YA PILI WA BARAZA LA MADIWANI

    February 05, 2026
  • MKUU WA WILAYA YA MASASI AFUNGUA MAFUNZO KWA WAHESHIMIWA MADIWANI HUKU AKISISITIZA UWAJIBIKAJI WA PAMOJA.

    January 30, 2026
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa