• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje OPD lawekwa jiwe la Msingi.

Posted on: June 6th, 2024

UJENZI WA JENGO LA WAGONJWA WA NJE (OPD) NAMWANGA LAWEKWA JIWE LA MSINGI.

Mwenge wa uhuru 2024 umetembelea, kukagua na kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa jengo la utoaji wa huduma kwa wagonjwa wa nje (OPD) la kituo cha Afya Namwanga .


Mradi huu ambao unatekelezwa kwa njia ya "Force account"kwa kutumia Local fundi, kazi zilizofanyika mpaka sasa ni ujenzi wa boma, kuezeka/upigaji wa bati na Blunering, kupiga lipu/plasta na uwekaji wa Grill za madirisha.

Aidha mradi huu ukikamilika unategemea kutoa huduma yenye ngazi ya kituo cha Afya kwa Wananchi waishio kata ya Namwanga na kata jirani kama vile Mkululu,Mpindimbi, Mijelejele ambapo jumla ya wakazi 28,218 watanufaika.


Akiweka jiwe hilo la msingi jana june 05,2024 katika jengo hilo ambalo linatarajiwa kuwa kituo cha Afya, kiongozi wa mbio za  mwenge wa uhuru kitaifa mwaka 2024 Ndg.Godfrey Eliakimu Mzava amesema, katika eneo hilo wamepokea taarifa ya mapambano dhidi ya Malaria, mapambano dhidi ya Ukimwi, mapambano dhidi ya madawa ya kulevya pamoja na taarifa ya utekelezaji wa mradi wa jengo la utoaji wa huduma kwa wagonjwa wa nje ( OPD) cha zahanati ya Namwanga ambayo ina mpango wa kuwa kituo cha Afya .

Amesema katika maeneo hayo yote wameona yapo vizuri ila katika eneo la mapambano dhidi ya Malaria yapo maagizo ya mhe.Rais kuhusu ununuzi wa dawa za viua dudu ambazo zitatumika katika kutokomeza Malaria,maelekezo yanaelekeza Halmashauri itenge fedha kutoka mapato ya ndani kwenda kununua dawa ya viua dudu na baadaye wainishe maeneo ambayo yana mazalia ya mbu ili waje kupulizia ikiwa ni moja ya mkakati madhubuti wa kupambana na malaria .


Aidha amesema pamoja kwamba agizo hilo bado utekelezaji wake  haujakamilika lakini wamepata ahadi kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo ya Wilaya ya Masasi ambaye pia ndiye Mganga mkuu Dkt.Ruben Mwakilima kwamba kabla ya tarehe 15 watakwenda kuchukua hiyo dawa ikiwa kwasasa wana lita 5 tu zimenunuliwa fedha kutoka kwenye mfuko wa wahisani na wafadhili mbalimbali kutoka sekta ya Afya.

Hata hivyo ifahamike kuwa kata ya Namwanga imepokea fedha kwa awamu mbili  kutoka katika mapato ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Masasi kwa ajili ya ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje OPD la kituo cha Afya, ambapo shilingi Milioni 50 awamu ya kwanza tarehe 07/02/2023, awamu ya pili milioni 25 tarehe 06/3/2024 na kufanya jumla ya tsh.77,025,025 na mchango wa wananchi Tshs.milioni mbili ishirini na tano elfu na ishirini na tano ikiwa ni kutoa eneo la ujenzi lenye ekari 15,usafi wa eneo la ujenzi, kuweka kifusi kwenye msingi wa jengo na ulinzi wa vifaa.


Kazi iendeleee.....

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa