• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA MKOA MTWARA AWAHIMIZA WANANCHI KUPANDA MITI ILI KUTUNZA MAZINGIRA

Posted on: March 16th, 2018

Wananchi wa wilaya ya Masasi mkoani Mtwara wameaswa kuachana na tabia ya ukataji wa mitiovyo badala yake wawe mstari wa mbele wa kuwa na utamaduni wa  upandaji wa miche mbalimbali ya miti ili kurudisha uoto wa asili uliopotea sambamba na utunzaji wa mazingira ili kuufanya mkoa wa Mtwara uwe na muonekano wa kijani.

  Wito huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Gelasius Byakanwa alipokuwa akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Muungano kilichopo Kata yaLulindi halmashauri ya Wilaya ya Masasi kwenye sherehe za maadhimisho ya uzinduzi wa upandaji miti kimkoa ambapo Mkuu wa Mkoa huyo ndio aliongoza zoezi la upandaji miti akiambatana na viongozi mbalimbali za wilaya zote za Mkoa waMtwara na kushiriki kwa vitendo katika kupanda miche hiyo ya miti zaidi ya 200.

  Alisema kuwa kutokana na hali ya mazingira kuendelea kuwa mbaya hasa kwa ukosefu wa miti kwenye maeneo mbalimbali mkoani Mtwara kutokana na tabia ya ukutajimiti ovyo jambo ambalo limepelekea uwepo wa athari za mazingira kwa sasa, kunahaja ya kuweka mkakati madhubuti utakaosaidia kutunza mazingira kuwa borazaidi.

 Mhe. Byakanwa alisema kila wilaya ndani ya mkoa wa Mtwara inatakiwa kuweka mkakati wa upandaji miti katika maeneo mbalimbali ikiwemo maeneo ya shule za Msingi na Sekondari pamoja na sehemu zingine ambazo zitafaa kwa ajili ya upandaji wamiche ya miti hali hiyo itasiaida na kufanya sehemu kubwa ya mkoa wa Mtwara kuwa katika hali ya kupendeza ya ukijani.

 Alisema mkoa umejiwekea mkakati wa upandaji wa miti kila mwaka iwe imeshapanda miche ya miti ifikayo zaidi ya miche milioni 6.5 hivyo halmashauri za wilaya, miji na manispaa zilizopo katika mkoa wa Mtwara zenyewe zitapaswa kuwana mkakati wa upandaji wa miche ya miti milioni 1.5 kila moja kwa mwaka.

 Mkuu huyo wa mkoa alisema kupitia mkakati huo utasaidia kurejesha hali ya miti iiyopotea kwenye mkoa wa Mtwara unaosababishwa na baadhi ya wananchi kuwa na tabia ya kukata miti ovyo kwa ajili ya matumizi ya kuchoma mkaa na ukataji wakuni ili kufanya biashara.

 “Mkakati huu tukianza nao utatufanya baada ya miaka kadhaa mkoa wa Mtwara utakuwa umerejea na kuwa na miti mingi katika maeneo mbalimbali lakini pia nataka wananchi kulinda mazingira hasa vyanzo vya maji na kuacha tabia yakukata miti ovyo,”alisema Byakanwa  

  Aidha, Mhe.Byakanwa alisema ili kuweza kuwa na utaratibu mzuri wa kudhibiti athari za ukataji miti ovyo inabidi tuwe na mpango unaoanzia ngazi ya kijiji kwa kuanza kuwa na kamati za kudhibiti misitu za vijiji ambazo zitaweka utaratibu wa ukataji miti pale mtu atakapohitaji hata kama miti hiyo ipo kwenye shamba lake mwenyewe.

 Alisema Wakuu wa Wilaya kwa kushirikiana na Wakurugenzi na watendaji wengine ndani ya kila Wilaya  na Halmashauri wawe mstari mbele katika kuhamasisha jamii na wananchi kwa ujumla kutunza miti na kupanda miche ya miti ili kuweka  mazingira yawe bora. 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa