• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC MTWARA AWAHAKIKISHIA WANANCHI WA NANGOO WILAYANI MASASI KULIPWA FIDIA

Posted on: March 7th, 2018

Mkuuwa mkoa wa Mtwara Mhe Gelasius Byakanwa amewahakikishia wananchi wa kata yaNangoo wilayani Masasi kuwa watalipwa fidia ya maeneo na Mali zilizoharibiwawakati wa utekelezaji wa mradi wa maji wa Mbwinji unaotumiwa na wananchi waMasasi na Nachingwea. 

MKuuwa mkoa ametoa kauli hiyo baaada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi wakata hiyo yaliyoainishwa katika makundi matatu ikiwemo watu kulipwa pungufu,kulipwa wasiostahili na wengine kutolipwa kabisa wakati ni wahanga.

Kufuatiahali hiyo Byakanwa amewaeleza wananchi wa kata hiyo na Kata jirani kuwaatahakikisha kila mtu anayestahili kulipwa analipwa ndani ya miezi miwili baadaya uchunguzi wa kutambua waliolipwa wakati hawana sifa kukamilika ambapo ndaniya miezi hiyo miwili watakuwa wamebainika na hatua zitachukuliwa.

MheByakanwa amesema "Nipeni hii miezi miwili nikipata kibali kutoka kwaMkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU tutashughulikia ngazi ya Mkoa kwa kuunda kamatiitakayo fanya uchunguzi na kutambua wale wanaostahili na wasiostahili na hatuazitachukuliwa hapahapa bila kusubiri utaratibu wa TAKUKURU ambazo zina chukuaunamlolongo mrefu" 

Wananchiwametoa malalamiko kuwa kuna watu ambao hawakupitiwa na mradi walilipwa fedhawakati wanaostahili hawajalipwa litafanyiwa kazi haraka na watarudisha fedhahizo ili walipwe wanaostahili.

AKijibuhoja ya kulipa fidia watu hewa Mwakilishi wa ofisi ya TAKUKURU Masasi ameelezakuwa uchunguzi unaendelea wa kuwabaini watu hao na kwa kijiji cha Liputukilichopo Kata ya ndanda wilayani humo umekamilka na imebainika kweli kuwa wapowatu ambao walilipwa bila kuwa na maeneo yaliyoathiriwa na mradi.

Aidhamhe. Byakanwa amemwagiza Mkurugenzi wa MANAWASA kuhakikisha anafungua vioskivya maji vyote vilivyofungwa kwasababu ya wauza maji wamekila hela ili wananchiwaendee kupata huduma ya maji kama serikali ya awamu ya tano inavyoelekeza kuwawananchi lazima wapate maji kwani wanaadhibiwa kwa kosa ambalo hawajatenda.

PiaMhe. Byananwa amemsisitiza Mkurugenzi wa MANAWASA kuhakikisha wale wauza majiwote waliokula fedha wakamatwe ili walejeshe fedha hizo haraka na baada ya wikimbili zoezi hilo liwe limekamilika.

Mhe.Byakanwa amewataka wananchi kutunza vyanzo vya maji na miundombinu ya majikwani jamii ndio yenye jukumu la kutunza kwa kuto fanya shughuli zozote karibuna vyanzo vya Maji lakini pia kuilinda miundombinu yake kwani serikali inatumiafedha nyingi kutekeleza Miradi hiyo.

Mradiwa Mbwiji ulianza kutekelezwa 2011 mwaka na ulighalimu zaidi ya bilioni 30.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa