• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 MWENYEKITI WA HALMASHAURI ATOA NENO

Posted on: September 26th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Masasi Mhe.Ibrahimu Chiputula amesema Katika kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao unatarajia kufanyika Nov 27,2024 Halmashauri ya Wilaya Masasi ina matarajio makubwa kuona uchaguzi huo unafanyika kwa amani na utulivu mkubwa.

Chiputula ametoa kauli hiyo mapema leo hii Sept 26, 2024 katika kikao kilichoongozwa na msimamizi wa uchaguzi wa Halmashauri hiyo Bi.Beatrice Mwinuka wakati akitoa maelekezo muhimu  kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili kuhakikisha uchaguzi huo unafanyika kwa uwazi, haki na usawa kwa kuzingatia sheria na taratibu za Uchaguzi zilizowekwa.


Amesema "Sisi tulio  hapa ni watu wachache sana miongoni mwa wengi walioko huko nje, lakini tumepata heshima kubwa yakuitwa hapa, naomba mkaitendee haki hiyo heshima mliyopewa, yameitwa makundi mbalimbali kwa dhamira ujumbe ukafike kwenye maeneo husika na matarajio yetu kuona kwenye Halmashauri yetu uchaguzi huo wa Serikali za Mitaa unakwenda kwa amani na utulivu ndio kwasababu dhamira yetu, usiwe sehemu yakutengeneza chuki baina yetu na ndio maana hapa leo tupo makundi mchanganyiko naomba tukawe wakweli kwenye hayo mambo na tufanye kwa mujibu wa taratibu na kanuni"....amesema Chiputula

Ameongeza kuwa viongozi wa Vyama vya Siasa wanapaswa kutambua kuwa wameitwa kushiriki katika kikao hicho kutokana na nafasi zao kwenye Jamii, na uchaguzi huo unakwenda kushindanisha vyama na watu watakaochaguliwa wanatokana na Chama hivyo wafahamu dhamira kuu ni kumtafuta kiongozi na yeyote atakayepatikana atakuwa ni mtanzania hivyo hakuna sababu ya Kuleta malumbano ili Halmashauri ya Wilaya Masasi iendelee kung'aa na kuonekana kwenye uso wa dunia kwamba wametekeleza jukumu hilo kwa amani na utulivu.

Hata hivyo mhe Chiputula amehitimisha kwa kuendelea kuwaomba viongozi walioshiriki kikao hicho wakiwemo mamwenye, wazeee maarufu, viongozi wa dini, Watendaji wakasaidie Kutoa mwongozo kwa Jamii juu ya zoezi la uchaguzi wa Serikali za Mitaa Lakini pia wanayo nafasi ya kuzuia vijana wanaoanzisha vurugu na fujo kwenye maeneo ya uchaguzi.

26/09/2024

@.. Masasi DC

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa