• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAONESHO YA NANE NANE 2019 YAFUNGULIWA NGONGO MKOANI LINDI

Posted on: August 3rd, 2019


Mkuu wa Wilaya ya Masasi Mhe. Selemani Mzee akitoa hotuba wakati wa ufunguzi wa maonesho ya Nanenane katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi Agosti 3, 2019 yenye Kauli Mbiu "KILIMO, MIFUGO NA UVUVI KWA UKUAJI WA UCHUMI WA NCHI" Mkuu huyo wa wilaya aliwaasa washiriki wa maonesho hayo kutumia vizuri fursa hiyo kuzitangaza bizaa zao na kuziongezea thamani kwani kutachangia kuongezeka kwa Viwanda, ukuaji wa pato la Taifa na uchumi wa nchi yetu pamoja na ongezeko la ajira kupitia Kilimo. Hata hivyo aliendelea kwa kusema endapo pato la taifa litaongezeka kupitia kilimo kutamsaidia Mh. Raisi kuendelea kuboresha huduma mbalimbali za kijamii hapa nchini ikiwemo ujenzi wa reli nyingine ya kisasa kwa kanda ya kusini ambayo itakwenda mpaka mbinga reli hiyo inategemewa kujengwa na serikali katika nyakati zijazo.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya masasi Bi. Changwa Mkwazu kulia pamoja na Afisa Utumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi Ndugu Festo Mwangalika kushoto wakiwa kwenye picha ya pamoja  kwenye ufunguzi wa maonesho ya Nanenane 2019 yanayofanyika katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi kwa kanda ya Kusini inayo jumuisha Mikoa ya Lindi na Mtwara.

Wa kwanza kushoto ni Afisa mipango wa Halmashauri ya wilaya masasi Ndugu Jeremiah Lubeleje,akifuatiwa na Afisa Utumishi  Ndugu Festo Mwangalika, wa katikati ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Masasi,Bi Changwa Mkwazu, na wa mwisho kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Masasi kwa pamoja wakionyesha ushiriki wao katika sherehe za uzinduzi wa maonesho ya Nanenane leo Agosti 3, 2019 katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi Kanda ya Kusini inayojumuisha Mikoa ya Lindi na Mtwara.

Picha upande wa kushoto ni Bibi Maarufu sana ndani ya Halmashauri ya wilaya ya masasi ambae ni mjasiliamali na mjuzi  mzuri wa kutengeneza na kuuza vyungu vya asili 

                                 Mh. selemani mzee alipotembelea banda la vinyago na kujionea jinsi kazi hiyo ya sanaa inavyofanyika na kunufaisha wananchi kiuchumi


                                   Hili ni moja kati ya eneo la Halmashauri ya wilaya ya masasi linaloonyesha kilimo cha mboga mboga ambazo zimelimwa kitaalamu na kisasa zaidi katika                                      maonesho ya Nanenane Ngongo kanda ya kusini Mkoani Lindi.


Hiki ni kizimba kimojawapo cha Halmashauri ya wilaya ya masasi kinachoonyesha zao la Alizeti lililolimwa kitaalaamu katika maonyesho ya Nanenane Ngongo Mkoani Lindi 2019.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI YAMKABIDHI PIKIPIKI MPYA AINA YA SANLG BW.YUSUF SIJAONA KARUME KAMA FIDIA.

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA UMMA WILAYANI MASASI WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA PEPMIS PIPMIS

    June 26, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI LAVUNJWA RASMI.

    June 19, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA YAANZA VIZURI MASASI DC

    June 17, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa