• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAMCU: VIONGOZI WA AMCOS ANZENI KUPOKEA MBAAZI KUTOKA KWA WAKULIMA

Posted on: August 5th, 2024

Chama Kikuu Cha Ushirika MAMCU LTD Leo tarehe 05/08/2024 kimetoa ruhusa kwa Vyama vya Msingi (AMCOS) kuanza kukusanya mbaazi (kupokea) Kutoka kwa Wakulima huku wakihaidi Siku chache zijazo itatolewa  ratiba kamili ya minada.

Aidha, viongozi hao pia wametakiwa kuzingatia kulinda ubora wa mazao hayo ambayo wanayapokea kutoka kwa wakulima kwani ubora wa mazao ndio upana wa Soko.

Hayo yameelezwa na Afisa Ushirika wa Halmashauri ya Wilaya Masasi Bw. Ahmad S.Issa  katika kikao kazi cha kupitia zile changamoto ambazo wamekutana nazo wakiwa wanafanya jukumu lao la Msingi katika ukusanyaji wa zao la Ufuta na Kutoa fursa kupitia changamoto hizo sasa zitumike kwa namna bora ya kuelekea katika ukusanyaji wa zao la mbaazi, kikao kilichowakutanisha kwa pamoja viongozi wa AMCOS wa Halmashauri ya Wilaya Masasi yaani wenyeviti na makatibu, Afisa kilimo, pamoja na Afisa mapato, kikao kilichofanyika Katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo Mbuyuni Masasi.

Amesema" Leo tarehe 05/08/2024 tumepata kauli kutoka kwa meneja wa Chama kikuu Cha MAMCU LTD kwamba wameruhusu vyama vya Msingi vianze kukusanya mbaazi yaani kupokea Kutoka kwa Wakulima na siku chache mbeleni watatoa ratiba kamili ya minada, hivyo niwaombe wakulima hakuna haja ya kuuza mbaazi zao kwa walanguzi( (chomachoma) kwani maslahi makubwa tunayapoteza".

Amesema katika kutekeleza hayo wamekubaliana kuzingatia zaidi viwango vya ubora katika ukusanyaji wa mazao  na itakapotokea kiongozi mmoja wapo haendani na taratibu zinazotakiwa wasisite Kutoa taarifa kwa Maafisa Ushirika au kwa kiongozi yeyote wa Serikali kujulisha tukio hilo hususani katika kulinda ubora wa mazao yanayotoka katika Halmashauri ya Wilaya Masasi.

"Pia tumesisitiza juu ya utumiaji wa ghala la Halmashauri ambalo lipo katika Kijiji Cha Chiungutwa, na hapa hususani katika Vyama vya Ushirika vyote  28 vinavyopatikana katika Jimbo la Lulindi kwasababu upatikanaji wa ghala hili ni mkombozi kwa Wakulima  litawapunguzia gharama za usafirishaji wa Mazao hayo kutoka katika eneo la Chama chake cha msingi kupeleka maghala makuu ambayo yapo mbali na maeneo yao, hivyo viongozi hao wa vyama vya Ushirika wamelipokea vizuri japo Kuna maombi machache wameyatoa ikiwemo kuongezwa kwa wachukuzi katika ghala hilo ili kusiwe na msongamano kwenye suala la ushushaji wa mizigo na huduma zingine ziende kwa haraka.

Halmashauri ya Wilaya Masasi inajumla ya vyama 55 vya Ushirika,kilimo na masoko ambapo katika Jimbo la Lulindi vyama 28 na Jimbo la Ndanda likiwa na vyama 27.


05 August 2024

......@ Masasi DC

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa