• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YANATOA FURSA KILA MMOJA KUJUA HAKI YAKE YA MSINGI: MHE MAJALIWA

Posted on: March 6th, 2025

MAADHIMISHO HAYA YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI  YANATOA FURSA KILA 

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa (MB) amesema Serikali inatambua umuhimu wa kukuza Usawa wa Kijinsia na Uwezeshaji wa Wanawake kama njia mojawapo ya kukuza na kuimarisha Ustawi na hatmaye kufikia Maendeleo Jumuishi na endelevu kwa Jamii


Mhe.Majaliwa amesema hayo leo tarehe 06/03/2025 katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Wanawake duniani Kanda ya Kusini yaliyofanyika katika Viwanja vya Maegesho Wilayani Nachingwea Mkoani Lindi ikiwa ni sehemu ya kuelekea katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake duniani ambayo yanatarajia kufanyika kitaifa jijini Arusha na mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Dkt.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Amesema lengo kubwa la Serikali ni kuhakikisha jamii ya Watanzania inaishi kwa umoja na mshikamano kati ya Wanawake na Wanaume na kwamba wote wawe wanapata huduma za msingi kwa haki na usawa katika nyanja zote ikiwemo huduma za kisheria, Elimu, Afya,uchumi na katika nafasi mbalimbali za maamuzi.

"Maadhimisho haya leo hii yanatoa fursa kila mmoja kujua haki yake ya msingi,kujua sisi sote ni sawa, lakini pia tunataka kuimarisha sekta ya uchumi kila mwanamke lazima awe na uwezo kiuchumi,je anapataje,aanze vipi,wapi, na nani anawezesha, hivyo wiki hii hutumia kwa wale wote wanaowezesha masuala ya kiuchumi kwa Wanawake wanajitokeza ili kutangaza fursa zao".

Aidha, mhe Majaliwa ameongeza kuwa ili kuendelea kuwawezesha Wanawake kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi, Serikali imeendelea kutoa fedha kupitia asilimia 10 ya mapato ya Halmashauri na kutoa mikopo hiyo kwa Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu ambapo kupitia mikopo hiyo imewezesha makundi  hayo na hasa Wanawake kutekeleza miradi kwa lengo la kuchangia ukuaji wa pato la mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.


" Niwaombe Wanawake wote endeleeni kuhamasishana na kuunda vikundi vya ujasiriamali  na mtumie fursa za uwepo wa madirisha yenye kutoa huduma za mikopo kwa Wanawake ili mjikwamue kiuchumi".

06/03/2025

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa