• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Lishe sio kujaza tumbo ,zingatia unachokula

Posted on: June 5th, 2024

"LISHE SIO KUJAZA TUMBO ZINGATIA UNACHOKULA"


Katika kutekeleza Afua mbalimbali za Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Masasi imeweza kuhamasisha kufanya uchunguzi kwa watoto chini ya miaka mitano katika vituo mbalimbali vya kutolea huduma za Afya.

Katika uchunguzi huo umebaini kuwa Watoto waliokuwa na utapiamlo mkali ni 102 kwa kipindi cha mwaka 2023, hata hivyo watoto 98 wamepata matibabu ya utapiamlo mkali sawa na asilimia 96.1%, hata hivyo watoto hao wamepona kabisa.


Zahara Fundi ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Masasi akisoma taarifa ya Lishe kwa kiongozi wa mbio za Mwenge wa uhuru kitaifa Ndg.Godfrey Eliakimu Mzava amesema huduma zingine ambazo zilitolewa ni Elimu ya Lishe kuhusu makundi sita ya chakula, chakula dawa na maziwa dawa kulingana na mahitaji na hali zao za Lishe.

Amesema kwa mwaka wa fedha  kuanzia julai 2023 hadi April 2024 Halmashauri imetenga kiasi cha shilingi 53,405,654.3/= ambapo kiasi cha shilingi 47,384594/= sawa na asilimia 88.73% kimetumika kwa ajili ya shughuli za lishe, lengo mpaka kufikia june 2024 Halmashauri iwe imetekeleza agizo la kutenga na kutoa shilingi 1000 kwa kila mtoto aliye chini ya miaka 5 kwa ajili ya kutekeleza shuguli mbalimbali za lishe.

Ameongeza kuwa halmashauri imeweza kufanya kaguzi za chumvi katika shule za msingi na jumla ya sampuli 163 zilipimwa na sampuli 113 ziligundulika kuwa na madini joto ya kutosha sawa na asilimia 63.3%.

Sambamba na hilo halmashauri imeweza kusimamia na kuhamasisha shule kutoa chakula na jumla ya shule za Sekondari na msingi zilizotoa chakula ni 173 sawa na asilimia 100%.

Pia halmashauri ya Wilaya ya Masasi imeweza kuhamasisha wakina mama kuwapeleka watoto wao wenye umri wa (miezi 0- 59) kliniki ili kupima hali zao za lishe ambapo kuanzia April 2023 mpaka April 2024  jumla ya watoto 89,515  kati ya 90,371 sawa na asilimia 99.1% walipimwa hali zao za lishe pamoja na wazazi/ walezi kupewa unasihi wa ulishaji watoto (miezi 0-23) na wenye umri chini ya miaka mitano.

Hata hivyo mwenge wa uhuru baada ya taarifa hiyo umetembelea banda na kuona shughuli mbalimbali za lishe zinavyofanyika.

kazi iendelee!...

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa