• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kosa kisheria kufanya manunuzi nje ya mfumo wa kielektroniki

Posted on: July 9th, 2024

Wataalamu Kutoka Hamashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara Leo julai 09/2024 wamekutana na kuwajengea uwezo Wakuu wa Shule za Msingi na Sekondari ambao tayari Shule zao zimepokea fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo na huku wakiwasisitiza kutumia mfumo mpya wa ununuzi wa umma wa kielektroniki (NeST)ambao unasimamiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa ununuzi wa umma (PPRA)

Matumizi ya mfumo huo pamoja kuwa ni maagizo ya Serikali pia ni matakwa ya sheria yaliyobainishwa Katika sheria mpya ya ununuzi wa sheria no.10 ya mwaka 2023.


Bw. Said Ally ni Afisa Manunuzi wa Halmashauri ya Wilaya Masasi akitoa ufafanuzi zaidi juu ya mfumo huo mbele ya walimu hao  amesema "tumeamua kukutana na hawa walimu ili kuwajengea uwezo na kuwafahamisha Katika mapokezi ya fedha;walizopokea nini wanatakiwa kufanya kwenye fedha hizo."

Amesema Sheria mpya ya manunuzi inataka taasisi zote za umma kufanya manunuzi kupitia mfumo wa NeST ambao ni rahisi kutumia na unaondoa tabia za urasimu iliyokuwa ikijitokeza kipindi Cha nyuma, ukilinganisha na ule wa awali wa TANePS ambao ulikuwa na changamoto mbalimbali Kama vile uahirikishwaji ulikuwa mdogo sana na uliruhusu baadhi ya utaratibu kufanywa nje ya mfumo huo.

"Kwasasa ni kosa la jinai kufanya manunuzi ya umma nje ya mfumo wa kielektroniki (NeST) na kanuni ya 128 inatoa adhabu kwa mtu yeyote ambaye atafanya ununuzi kwa nje ya mfumo huo ambapo adhabu inaweza kuwa kulipa shilingi milioni 10, au kifungo Cha Miaka mitatu (3) jela.au vyote kwa Pamoja."

Aidha Bw. Said ameongeza kuwa kwasasa sheria inasema pia iwapo ununuzi wa nje wa mfumo wa kielektroniki utasababisha hasara yeyote au upotevu wa mali za umma,basi yule aliyehusika atahusika kulipa upotevu wa hasara hiyo.

Hata hivyo ifahamike kuwa sheria ya ununuzi wa umma imebadilika Kutoka kwenye Sheria ya mwaka 2011 ambayo ilifanyiwa marekebisho mwaka 2016, ambapo Serikali iliamua kufanya maboresho mbalimbali kwenye hiyo sheria, kwaiyo kupitia sheria mpya no.10 ya mwaka 2023 kifungu no.73 imeondoa mwanya Moja kwa Moja wa kufanya manunuzi nje ya mfumo wa kielektroniki tofauti na ile sheria ya Mwanzo ambayo ilikuwa ikiruhusu manunuzi kufanywa kwa mfumo wa kielektroniki au nje ya mfumo huu.

Kikao hicho cha kuwajengea uwezo walimu hao kimeshirikisha Wataalamu Kutoka Idara ya mipango, Idara ya Fedha, Idara ya ujenzi, Idara ya ununuzi pamoja na kitengo Cha ukaguzi wa Ndani.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa