• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kikundi Cha Vijana Tuinuane-Mandiwa chapongezwa na Mwenge wa uhuru

Posted on: June 6th, 2024

KIKUNDI CHA VIJANA CHA TUINUANE _MANDIWA CHAPONGEZWA  NA MWENGE WA UHURU 2024.

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa uhuru kitaifa 2024 Ndg.Godfrey Eliakimu Mzava amekipongeza kikundi cha Vijana cha Tuinuane kilichopo katika kijiji cha  Mandiwa ambacho kinajihusisha na ufugaji wa Ng'ombe na uuzaji wa maziwa kwa kutoka kukaa tu mitaani na kujiunga kwenye kikundi na hatmaye wakachangamkia fursa ya mkopo kupitia asilimia 10 ya makusanyo ya Halmashauri kwenye mapato ya ndani.


Mzava ametoa pongezi hizo mara baada ya mbio za mwenge wa uhuru kutembelea, kuona na kukagua shughuli za ufugaji wa ng'ombe katika kikundi hicho ambapo ametumia fursa hiyo kueleza kuwa lengo la kupatiwa hizo fedha vijana ni kuwawezesha kufanya shughuli zao za  kiuchumi na halmashauri ikitakiwa kuwalea, kuwaelekeza na baada ya kuwapatia fedha kuwafuatilia kuona kweli wanafanya hizo shughuli, wanazalisha,wanapata faida, je kuna tija kutokana na shguhuli wanazozifanya.

Pia ameongeza kuwa, Maafisa Mifugo na Maafisa maendeleo wanatakiwa nao kuwatembelea kuwapa miongozo mbalimbali na kuona wanapata faida na kama kuna changamoto zinawakabili wanapaswa kuwashauri utaalamu upi wanapaswa kuutumia.


Mwaka wa fedha 2021/2022 Halmashauri ya Wilaya yaMasasi iliwapatia mkopo wa shilingi 5,000,000/= kupitia fedha za asilimia 4% za mfuko wa Maendeleo ya vijana, na kwa mujibu wa taarifa ya kikundi hicho imeeleza kuwa marejesho ya mkopo huo yamefanyika kwa miaka 2 yaani 2,500, 000/= kila mwaka kuanzia mwaka 2021/2022 na kumalizia mwaka 2022/2023.

Taarifa inasema kupitia mkopo huo zipo faida kadhaa ambazo wanajivunia kama kikundi ikiwemo mkopo  umewawezesha kikundi hicho  kujenga banda na kununua ng'ombe wawili (2) wa maziwa ambapo hadi sasa tayari kuna ongezeko la Ng'ombe 4, upatikanaji wa maziwa umeongeza uboreshaji wa lishe kwa jamii inayowazunguka, ongezeko la kipato kwa wanakikundi sanjari na kuimarisha umoja baina ya wanakikundi.

Hata hivyo matarajio ya kikundi ni kuongeza ng'ombe wengine na kutoa ajira kwa vijana wengine kupitia mradi huo wa ufugaji wa ng'ombe wa maziwa.


Hata hivyo kikundi cha vijana tuinuane Mandiwa kina jumla ya wanachama 6, watano wanawake na mwanaume mmoja ,kilianza rasmi tarehe 01/07/2019 kikiwa na Ngombe mmoja wa maziwa pamoja na ujenzi wa banda ambazo zilitokana na michango ya wanakikundi yenye thamani ya tshs.2,499,975.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa