• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HONGERENI SANA WANANCHI WA MITESA KWA USHIRIKI KWENYE MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO: KAMATI YA SIASA MKOA

Posted on: January 8th, 2025


Kamati ya Siasa mkoa wa Mtwara ikiongozwa na Mwenyekiti wa Ccm mkoa Saidi Nyengedi pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala katika kufuatilia  utekelezaji wa Ilani ya Chama Chama Mapinduzi  imetembelea na kukagua ujenzi wa Nyumba ya walimu 2 in 1 inayojengwa katika Shule ya Sekondari mitesa Halmashauri Ya Wilaya Ya Masasi.

Kamati hiyo imeonyesha kuridhishwa na maendeleo ya  mradi huo ambao utekelezaji wake umeendana Kabisa na thamani ya fedha zilizotumika.

  Hata hivyo kwa mujibu wa taarifa ya ujenzi wa mradi huo unaogharimu kiasi cha shilingi Milioni 95, unatekelezwa kwa njia ya force account  hadi sasa umefikia hatua ya upauaji na Shughuli za ukamilishaji zinaendelea.

Taarifa hiyo imeeleza kwamba mnamo tarehe 29 /06/2024 shule ilipokea kiasi cha shilingi Milioni 95 Kutoka Serikali kuu kupitia fedha za wahisani na mradi wa Sequip kwa ujenzi wa Nyumba 1 ya walimu (2 in 1) sambamba na kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundisha kwa walimu.

Hata hivyo mradi ulutakiwa kutekelezwa ndani ya siku 90 kuanzia tarehe 01/07/2024 - 30/09/2024 ila kwakuwa wakati zinaingizwa fedha hizo ilikuwa ni kipindi cha mwisho wa mwaka wa Serikali na fedha hizo zilianza kutumika kwa bakaa ya fedha Mwaka 2023/2024 kwenye bajeti ya mwaka 2024/2025, hivyo utekelezaji rasmi wa mradi ulianza tarehe 20/08/2024 ambapo hadi sasa kiasi kilichotumika ni shilingi milioni 61,820,382.00 na kiasi kilichobaki ni shilingi 33,179,618.00 na kinaendelea kutumika.

Aidha katika kipindi Cha utekelezaji mradi ulipitia changamoto ya ukosefu wa maji pamoja na changamoto ya mfumo wa manunuzi wa kielektroniki wa NeST lakini kwa kushirikiana na Wataalamu na Viongozi waliweza kutatua changamoto hizo na kuwezesha mradi kufikia hatua hiyo.


Mwenyekiti wa CCM Mkoa Ndg Said Nyengedi pamoja Naye Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Kenani Sawala wametumia wasaa huo kumshukuru mheshimiwa Rais Dokta Samia Suluhu Hassan Kwa kuendelea kuupatia Mkoa wa Mtwara Fedha Kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ambayo inaleta maendeleo makubwa ndani ya Mkoa mzima wa Mtwara.


08/01/2025

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa