• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI YAPONGEZWA KUPATA HATI SAFI

Posted on: July 17th, 2018

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imeipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara kwa kupata HATI SAFI katika ukaguzi wa Hesabu za Halmashauri hiyo zilizoishia tarehe 30 mwezi juni, 2017 kutokana na kutumika vyema fedha za serikali kwa kuzingatia kanuni na taratibu za matumizi ya fedha hizo.

Wajumbe wakiwa kwenye Mkutano maalumu wa Baraza la Madiwani  la Halmashauri ya Wilaya ya Masasi wakati wa kupokea na kujadili taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali leo tarehe 17.07.2018 katika ukumbi wa Halmashauri  


Wakati wa ukaguzi huo wa fedha kwa mwaka wa fedha 2016/2017, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi  ilipata hoja 71 lakini iliweza kujibu vizuri jumla ya hoja 54   na hatimaye kufutwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali baada ya kuridhika na majibu.

Mheshimiwa Diwani wa kata ya Mijelejele  Juma Pole akichangia wakati wa kujadili na kupokea taarifa ya kujadili taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali leo tarehe 17.07.2018 katika ukumbi wa Halmashauri  

Pongezi hizo zimetolewa leo na mwakilishi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Mkoa wa Mtwara ndugu Ibrahim Ndendemi wakati akiwasilisha taarifa ya ukaguzi wa hesabu za Halmashauri hiyo katika mkutano maalumu wa baraza la Madiwani la  kujadili hoja za ukaguzi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 pamoja na hoja za nyuma na kueleza kuwa halimashauri iliweza kufanya utekelezaji wa shughuli zake kwa kufuata taratibu na sheria za matumizi ya fedha za umma.

waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi wakifuatilia mjadala wakati  wa kujadili na kupokea taarifa ya kujadili taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali leo tarehe 17.07.2018 katika ukumbi wa Halmashauri

Ndendemi alilieleza baraza kuwa pamoja na Halmashauri kupata hati safi, wakati wa ukaguzi baadhi ya dosari/ mapungufu yalibainika ambapo Halmashauri ilihojiwa jumla ya hoja 71 na hoja 54 zilijibiwa vizuri na kufutwa huku hoja 19 zikiwa bado hazijajibiwa hivyo halmashauri izingatie ushauri wa Mkaguzi ili halmashauri isiwe na hoja kabisa.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Mtwara mhe. Gelasius Byakanwa ameeleza kuwa siri kubwa ya halmashauri kwa Mkoa wa Mtwara kupata hati safi ni kutokana na usimamizi mzuri wa mkoa lakini pia watendaji wa Halmashauri kufanya kazi kwa weledi unaozingatia sheria na kanuni za matumizi ya fedha za umma ikiwemo sheria ya manunuzi ya umma.

Ili kuondokana na hoja za madeni, Byakanwa ameishauri Halmashauri kubuni vyanzo vipya vya mapato lengo ikiwa ni kukusanya mapato kwa kiasi kikubwa na hatimaye kulipa madeni na kuiwezesha halmashauri kutekeleza shughuli zingine za maendeleo.

Akiwasilisha taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi kwa mwaka wa fedha ulioishia mwezi juni 2017, kwenye Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo Changwa M. Mkwazu alisema, kwa mwaka wa fedha 2016 /2017 Halmashauri ilihojiwa jumla ya hoja 19 ambapo hoja 8 zimafungwa 11 hazijafungwa.

Mkurugenzi Mtendaji wa  Halmashauri ya Wilaya ya Masasi  bibi Changwa M. Mkwazu  akiwasilisha taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha ulioishia 2017 leo tarehe 17.07.2018 katika ukumbi wa Halmashauri

Ukaguzi wa fedha za katika mamlaka za serikali za mitaa unafanyika kwa mujibu wa sheria ya fedha ya usimamizi wa fedha ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009

Mweka Hazina  wa  Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Said Lihyuka  akiwasilisha  Hoja zilizohojiwa na wakaguzi  kwa mwaka wa fedha ulioishia 2017 leo tarehe 17.07.2018 katika ukumbi wa Halmashauri


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa