• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi yapitisha bajeti ya 31, 147,557,341.00 kwa mwaka wa fedha 2017/2018

Posted on: February 22nd, 2017

HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI YAPITISHA BAJETI 31,147,557,341.00 KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 KWA AJILI YA SHUGHULI ZA MAENDELEO

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi imepitisha bajeti ya Ths. 31,147,557,341.00 kwa Mwaka wa fedha wa 2017/2018 kutoka vyanzo mbalimbali vya Halmashauri kati ya fedha hizo Tshs.4,173,696,000.00 zitatokana na mapato ya Ndani na Ruzuku toka Serikali Kuu Tshs.26,973,963,341.00 kwa ajili ya Mishahara, Matumizi mengineyo na Miradi ya Maendeleo.

Akiwasilisha bajeti hiyo katika mkutano wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya masasi siku ya tarehe 18.01.2017 kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji(H/W) Masasi, Bw. Jeremiah Lubeleje amesema kwa upande wa Mapato ya Ndani,Halmashauri imejipanga kukusanya jumla ya Tshs. 4,173,696,000.00 kutoka vyanzo vyake vya mapato ambapo ongezeko hili la makusanyo ya ndani ni asilimia 4.27 ukilinganisha na makisio ya mwaka 2016/2017.

Lubeleje alisema kuwa halmashauri ya wilaya ya masasi katika makusanyo yake ya ndani inatarajia kukusanya shilingi bilioni 2,076,125,000.00 kupitia chanzo cha ushuru wa mazao ambapo katika kiasi hicho ushuru wa korosho pekee Halmashauri inategemewa kukusanya jumla ya Tsh bilioni 1,430,000,000.00

Bajeti hiyo imeandaliwa kwa kuzingatia vipaumbele vya Serikali ya Awamu ya Tano, Sheria ya Bajeti ya mwaka 2015 namba 11,Mpango wa maendeleo wa miaka mitano 2015/2016 – 2010/2021 na Miongozo mingine ya kitaifa, kimkoa na kiwilaya ikiwa na lengo la kuwatumikia wananchi na kuwaletea maendeleo wananchi wa Masasi.

Bw. Lubeleje alisema bajeti ya mwaka 2017/2018 imejikita zaidi katika kuhakikisha miradi viporo inakamilika ikiwa ni pamoja na kutekeleza miradi inayoendelea na kuiwekea fedha kwa mwaka 2017/2018.

Pia Halmashauri ya Wilaya ya Masasi imepania kutenga fedha 60% za mapato ya ndani kwa ajili ya miradi ya maendeleo na 40% itatumika kwa ajili ya matumizi mengineyo sambamba na hilo imeelekezwa kuwa 40% ya fedha za mapato zinazotokana na kilimo zikatumike kwenye Idara husika kwa 20% kilimo,15% Mifugo na 5% Uvuvi.

Hata hivyo Halmashauri katika kutekeleza maagizo ya kuzifanya shule za Chidya na Ndwika kuwa Sekondari za Kidato cha 5&6 imepanga kuboresha miundombinu ili kufanikisha jambo hilo sambamba na kuimarisha na kuongeza mahudhurio na ufaulu imepanga kusaidia chakula mashuleni.

Pamoja na bajeti hii, Halmashauri imepata changamoto kadhaa wakati wa kutekeleza bajeti ya mwaka 2016/2017 ikiwa ni pamoja na fedha kutoka Serikali kuu kupokelewa kiasi kidogo, kuchelewa kupokelewa fedha au kutoletwa kwa wakati, michango midogo ya jamii sanjari na ukosefu wa usafiri wa uhakika baada ya Halmashauri kuchomewa magari yake tarehe 26.01.2013.

Alisema ufumbuzi wa changamoto hizo ni pamoja na kuongeza ukusanyaji wa mapato, jamii kuhamasishwa ili kuongeza moyo wa kujitolea kwa Halmashauri kuweka utaratibu wa kusaidia maeneo yale ambayo yameonesha moyo kujitolea ili wengine waweze kuiga tabia ya kujitolea ikiwa ni pamoja na kuweka bajeti ya ununuzi wa gari la kukusanyia mapato.

Baraza hilo la Madiwani liliidhinisha jumla ya Tshs. 31,147,559,341/= ambapo kati ya fedha hizo kamati ya Fedha Utawala na Mipango inategemea kukusanya na kutumia Tshs. 4,096,950,020/=, Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira Tsh. 4,161,481,600/=, Kamati ya Elimu,Afya na Maji Tshs. 22,859,127,721/= na Kamati ya kudhibiti UKIMWI jumla ya Tshs. 30,000,000/=.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa