• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA MASASI LAHITIMISHWA LEO

Posted on: August 16th, 2019

Mkutano wa Robo ya Nne 2018/2019 wa Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilayani Masasi umehitimishwa mapema leo katika Ukumbi wa Halmashauri. Katika Mkutano huo, Taarifa  za Kata 34 za Halmashauri ya Wilaya ya masasi ambazo ni Mbuyuni, Chikoropola, Namajani, Mpindimbi, Ndanda, Chiwale,Chigugu,Chikukwe,Chikunja,Chiungutwa,Chiwata,Lipumbulu,Lulindi,Makong'onda,Lupaso,Mchauru,Mijelejele,Mitesa,Mkululu,Mkundi,Mlingula,Mpanyani,Mnavira,Mpeta,Msikisi,Mwena,Namalenga,Namatutwe, Nanganga,Nangoo,Nanjota,Sindano, zimejadiliwa kwa kina pamoja na wataalamu wa idara na vitengo mbalimbali ndani ya Halmashauri ya wilaya ya masasi pamoja na Taasisi nyingine kama vile Takukuru,Tarura,Nida,Makampuni ya simu ikiwemo Tigo,Vodacom,TTCL,Meneja wa Bima mkoa,Bila kusahau Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya kwa ajili ya kujibu hoja mbalimbali za waheshimiwa  madiwani kwa niaba ya wananchi kwa ujumla.Ambapo waheshimiwa madiwani waliweza kuhoji maswala mbalimbali yanayohusu wananchi wao likiwemo tatizo la Mimba mashuleni,uhaba wa watumishi hasa katika Idara ya Mifugo,pamoja na Huduma ya Bima ya Afya kwa wananchi yaani CHF Iliyoboreshwa ambapo Meneja wa Bima Mkoa aliwaeleza waheshimiwa madiwani kuwa wana mpango wa kuzindua Huduma mpya ya Bima ijulikanayo kama Mafao ya Vifurushi vya Bima kwa wananchi ikiwa huduma hiyo itampa fursa mwananchi mojamoja kuweza kulipia huduma ya Bima kadili unavyoweza.Huduma hii itazinduliwa kuanzia tarehe1/09/2019 na kuwataka wananchi wawe tayari kuipokea huduma hiyo.

Hata hinyo Baraza hilo leo lilihitimishwa kwa kufanya uchaguzi wa kuwachagua viongozi wapya katika nafasi  za Naibu mwenyekiti, pamoja na wenyeviti wa Kamati mbalimbali za Halmashauri ambapo Mh.Nestory Godfley Chirumba Diwani wa kata ya aliweza kuibuka kuwa mshindi,na Mh.Nestory Diwani kata ya makong'onda ameibuka mshindi na kuwa mwenyekiti wa kamati ya Maadili, na Mh.Mahelela Diwani kata ya Chikoropola nae amekuwa mshindi na kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, pamoja na Mh.Arafati Diwani kata ya Namalenga nae ameibuka na ushindi na kuwa mwenyekiti kwenye  kamati ya Uchumi. 

.Madiwani katika Taarifa zao wameelezea Ujenzi mbalimbali wa miundombinu unaoendelea katika Kata zao ikiwemo Ujenzi wa madarasa, nyumba za walimu, zahanati, vituo vya Afya, miundombinu ya maji, na vyoo. Aidha, wametoa pongezi za dhati kwa Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr, John Pombe Magufuli kwa kupeleka fedha za miradi vijijini katika sekta mbalimbali ikiwemo Elimu, Afya, Maji pamoja na mawasiliano.



.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa