• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Hatua na Taratibu za Upimaji wa Mashamba na Ardhi ya Kijiji

TARATIBU NA HATUA ZA UPIMAJI WA MASHAMBA NA ARDHI YA KIJIJINI

Halmashauri ya wilaya Masasi kama zilivyo Halmashauri nyingine Tanzania, zinajukumu la kupima ardhi/mashamba ya wananchi ili kuwapatia hatimiliki za ardhi zao. Katika kutekeleza hilo, Halmashauri ya Wilaya Masasi imeandaa utaratibu wa upimaji wa ardhi/mashamba ya wananchi kama ifuatavyo;

  1. Mwananchi anayehitaji huduma ya kupimiwa ardhi/shamba lake anatakiwa ajaze fomu ya maomb kwa nakala tatu. Fomu hii ya maombi inapatikana katika ofisi ya kijiji husika. Fomu ya maombi ya upimaji italipiwa Tsh 2500/ ,malipo yatafanyika ofisi ya kijiji. Hapa kuna fomu za aina tatu, za muombaji binafsi, za kikundi n aza taasisi
  2. Maombi ya mwananchi kupimiwa yatapitishwa katika Halmashauri ya kijiji. Halmashauri ya kijiji itatoa maoni kama muombaji anasifa za kupimiwa au hastahili. Sifa za mwombaji anayestahili kupimiwa ni kama zifuatazo;

Awe Mtanzania

Awe na umri wa kuanzia miaka 18 ( mtoto chini ya miaka 18 anaruhusiwa kupimiwa ardhi yake lakini sharti awe chini ya usimamizi wa mzazi au mlezi wake)

Awe na akili timamu wakati wa ujazaji wa fomu na kipindi cha upimaji

Ardhi inayombewa kupimwa haitakiwi iwe na mgogoro wowote kama vile wa mipaka au wa umiliki

  1. Baada ya maombi kupitishwa na Halmashauri ya kijiji yatapelekwa katika mkutano mkuu wa kijiji ambao nao utapitisha maombi hayo.
  2. Baada ya mkutano mkuu kuptisha maombi ya upimaji ya mwananchi,fomu za maombi zilizojazwa zitaletwa ofisi ya Ardhi Halmashauri ya Wilaya Masasi zikiwa na picha ndogo tatu saisi ya Passport.
  3. Ofisi ya Halmashauri ikishakagua fomu hizo, mwananchi aliyeomba atatakiwa kulipia gharama za upimaji kulingana na ukibwa wa ardhi/shamba lake. Malipo ya upimaji yatafanyika katika benki ya NMB kwa akaunti namba 70501200180 jina la akaunti ni MASASI DC OWN SOURCE CASH ACCOUNT
  4. Mwomabji akishalipia benki atatakiwa kupeleka stakabadhi aliyelipitia benki kwa CASHIER wa Halmashauri ya Wilaya Masasi ili apatiwe stakabadhi ya Halmashauri. Mwomabaji atatoa nakala ya stakabadhi ya Halmashuri na kuipeleka ofisi ya Ardhi kwa ajili ya kuweka kumbukumbu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa