• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WIZARA YA KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU YAKABIDHI HUNDI YA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 16 KWA VIKUNDI VINNE VYA VIJANA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

Posted on: June 13th, 2017

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi bibi Changwa M. Mkwazu aliyevaa (ushungi) akipata maelezo kutoka kwa wawakilishi wa wizara ya kazi, ajira, vijana na wenye ulemavu  kabda ya kukabidhiwa hundi hizo leo tarehe 13.06.2017 ofisini kwake mbele ya watumishi wa Idara ya Maendeleo ya Jamii na Mhasibu.

Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu Wizara ya Kazi, Ajira ,Vijana na Wenye Ulemavu imetoa mikopo kwa vikundi vinne  vya vijana katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi mkoani  Mtwara wenye thamani ya shilingi milioni 16,000,000.00 kwa ajili ya kuwawezesha vijana kiuchumi kwa kufanya shughuli mbalimbali za ujasiliamali.

Akizungumza wakati wa kukabidhi hundi hizo Mkurugenzi Msaidizi wa Utaratibu Uwezeshaji wa Vijana Kiuchumi bibi Ester Riwa  kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo bibi Changwa M Mkwazu, ofisni kwake alisema wizara hutoa mikopo kwa vikundi vya vijana ambavyo vinakuwa vimekidhi vigezo vya kukopeshwa ikiwemo andiko bora la mradi lengo ikiwa ni kuwasaidia kukuza uchumi kwa kujiajiri.

“Wizara inajitahidi kuhakikisha inatoa mikopo kwa vijana wanaoonesha nia ya kuanzisha miradi ya ujasiliamali kama njia ya kujiongezea kipato na kukuza miradi yao wakiwa kwenye vikundi, hivyo vijana wachangamukie fursa hii ya kujuinga kwenye vikundi ili waweze kukopesheka na hatimaye waweze kujikwamua kuichumi” alisema Riwa.

Akiongea baada ya kupokea hundi hizo mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya masasi bibi Changwa M Mkwazu aliishukuru serikali kwa kutoa mikopo hiyo kwa vijana kwani Halmashauri pekee haiwezi kutoa mikopo kwa vikundi vyote maana ni vingi.

Aidha Mkwazu amesema Halmashauri itajitahidi kuhakikisha marejesho yanafanyika kwa wakati lakini pia kuhimiza vikundi vingine vya vijana kuandika maombi ya kuomba mkopo ikiwa ni pamoja na kuwasaidia namna bora ya kuandika maandiko hayo.

Kwa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi jumla ya vikundi 9 vilituma maombi ya kuomba mkopo lakini ni vikundi vinne Vikundi ndivyo  vilivyopata mkopo huo ni kikundi cha kikundi cha Mshikamano, Jikwamue, Chimutu na Napata.

Halmashauri imeendelea kutenga 10% ya mapato yake ya ndani kwa ajili ya kuwezesha Mfuko wa wanawake na vijana ili kukuza mitaji kwa vikundi vya wajasiriamali vya wanawake na vijana ambapo kwa mwaka 2015/2016 Jumla ya Tsh. 160,770,000 kwa vikundi 95 zimekopeshwa na kwa mwaka 2016/2017 Tsh. 225,500,000 zimekopeshwa kwa vikundi 75.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa