• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI BASHE: WALIOLAMBA FEDHA ZA WAKULIMA KUKIONA CHA MOTO

Posted on: October 2nd, 2024


Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ametoa saa 24 kwa kampuni ya RV inayonunua mazao Masasi mkoani Mtwara kulipa madeni ya wakulima huku akiagiza vyombo vya ulinzi na usalama Wilayani humo kuwashikilia viongozi wastaafu wa ushirika ambao wamehusika na ubadhirifu wa zaidi ya shilingi Milioni 139.


Waziri Bashe ametoa maagizo hayo wakati alipohutubia Wananchi kwenye mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Chiwale Halmashauri ya  wilayani Masasi mkoani Mtwara ambapo alifahamishwa kuwa baadhi ya wakulima wa korosho ambao ni wanachama wa Chama cha Msingi cha Ushirika cha Nanyindwa AMCOS hawakulipwa kiasi cha TZS milioni 139 katika msimu wa 2016/17 hatua iliyosababisha mali za AMCOS hiyo ikiwemo trekta na lori kupigwa mnada kwa amri ya mahakama.


Pia amesema serikali inakwenda kufumua mfumo wa mauzo na ugawaji wa ruzuku za pembejeo kwa kuwa hauna uwazi.


Akizungumza katika mwendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Kusini, Waziri Bashe ameelekeza kampuni ya RV ambayo ilishiriki mnada wa mbaazi kuhakikisha inalipa wakulima pesa ndani ya saa 24.


Amesema "katibu wa Chama cha Msingi na hawa watu 15 watafutwe,lakini kama Kweli wapo mitaani wanatembea na wengine ni waheshimiwa Madiwani, mimi ninadhani watu wa vyombo vya Ulinzi na usalama milioni 139 na na waliohusika wanajulikana,sasa matokeo yake hicho Chama cha Msingi trekta lao limeuzwa,mali zao zimeuzwa na waliofanya uhalifu wapo mitaani wanatembea, TAKUKURU yupo ana Mamlaka yakuwashughulikia hawa wanaohujumu uchumi, chukueni hatua dhidi ya hawa watu waliofanya ubadhirifu, wizi ambao umesababisha hasara ".


Aidha mhe.Bashe ameongeza kuwa haiwezekeni katika Chama cha Msingi malipo yamefanyika Kwa mkulima alafu wapo Wakulima wengine wamelipwa ziada haiwezekeni, haiwezekeni Chama cha Msingi kilipe malipo ya ziada kwa mkulima kwaiyo vyombo vitusaidie kuchunguza vichukue ile risiti ya Wakulima ninani amesaini fomu ya malipo anza kukamata huyo, wale waliolipwa ziada watafutwe na warudishe fedha zote ili wakulima ambao hawajapata haki yao wapatiwe, chukueni hatua haina maana 4R za mheshimiwa Rais haihalalishi haya mambo ".. alisisitiza mhe.Bashe


Viongozi wanaolalamikiwa ni pamoja Diwani wa Kata hiyo ya Chiwale Yusuph Mataula aliyekuwa Katibu wa Amcos ambaye anatuhumiwa kutokana na tuhuma mbalimbali za ubadhirifu wa fedha za Wakulima na Hashim Pahala aliyekuwa Mtendaji wa kijiji ambaye anatuhumiwa kuuza shamba hewa kwa mkulima.

02/10/2024


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa