• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI MASASI DC WAPEWA ELIMU YA UTUNZAJI NA UTAMBUZI WA ALAMA MUHIMU ZA USALAMA KATIKA NOTI ZA TANZANIA YA

Posted on: September 5th, 2024

Benki kuu ya Tanzania (BOT) Tawi la Mtwara leo tarehe 05/09/2024 imetoa Elimu ya namna bora ya utunzaji wa noti pamoja na utambuzi wa alama muhimu za usalama katika noti za Tanzania kwa Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara.

Lengo ni kuhakikisha kwamba Watanzania wote wanazifahamu alama hizo za usalama ili kuepukana na fedha bandia ambazo zimeanza kupanda kasi katika mzunguko wa kifedha.

Pia washiriki wamejifunza kuhusu historia ya kifedha nchini na mchakato wa utengenezaji wa noti ambao kwa asilimia kubwa fedha inayotengenezwa inatokana na mahitaji.

Bw.Melchiades Rutayebesibwa ni Meneja huduma za kibenki tawi la Benki kuu Mtwara ambaye ndiye mwezeshaji wa mafunzo hayo amesema kwamba wamekuja hapo Halmashauri mahususi kuwapa elimu wafanyakazi wote waweze kuzitambua fedha zao na kwamba alama hizo zipo upande gani, lakini pia wakitoka hapo wakawe mabalozi wazuri wakuelimisha Jamii kuhusu umuhimu wa kuziheshimu na kuzitunza vizuri noti zetu kama alama ya utaifa wetu.

Amesema "ni muhimu kwa wananchi kuzitambua alama halisi zinazopatikana kwenye noti halali za Tanzania ili kuepuka utapeli wa kupewa noti bandia na hasa katika kipindi hiki cha ununuaji na uuzaji wa mazao na pia mifugo kutoka kwa Wakulima na Wafugaji."

Ameongeza kuwa ni vyema Sasa wafanyabiashara wakawa na vifaa maalumu vinavyoweza kutambua noti halali na bandia ambapo ni pamoja na taa maalumu zenye mwanga wa zambarau (Utraviolet light bulb) kwa kuwa taa hizo zina uwezo wakutambua alama muhimu zilizo katika noti halali ambazo si rahisi kuzitambua kwa macho ya binadamu pasipo vifaa hivyo.

Kwa upande wa utunzaji wa noti za Tanzania Watumishi hao wameshauriwa kuzingatia utunzaji bora wa noti hizo kwa kuepuka  kuzishika katika hali ya unyevu unyevu, kuzikunjakunja au kufinyanga mkononi, wasihifadhi kwa kuchimbia ardhini, kuweka noti kwenye nguo za ndani au kuzifunga kwenye kanga, wasiweke noti  kwenye soksi, viatu, chini ya godoro,  n.k

Hata hivyo Bw. Rutayebesibwa amehitimisha kwa kuendelea kuwaomba Wananchi hasa wafanyabiashara wakubwa na wanunuzi wa mazao kutopendelea kupokea fedha taslimu mkononi badala yake watumie njia za kibenki na huduma zingine za kifedha kama vile Airtel money, M-Pesa, Tigo pesa, Halo -pesa na zingine nyingi tu ili kuepuka kuchomekewa fedha bandia au kuporwa.

05/09/2024

@.. Masasi DC

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa