• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAKALA WA MISITU KANDA YA KUSINI YAJIPANGA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO KUTUMIA MTANDAO (SATELLITE)

Posted on: June 26th, 2018

Kutokana na kanda ya kusini yaani Mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma kukithiri kwa vitendo vya uchomaji moto kwenye misitu iliyohifadhiwa na ya kawaida, Wakala wa Misitu  Tanzania (TFS) Kanda ya Kusini imekuja na mfumo mpya wa kutambua   na kufuatilia kwa haraka uwepo wa moto kwenye misitu kwa kutumia njia ya matandao na kutoa taarifa za kuuzima mapema kabla haujasababisha madhara makubwa kwenye msitu.

Washiriki wakifuatilia hatua mbalimbali za kuzingatia juu ya matumizi ya mfumo mpya wa utambuaji na udhibiti wa moto kwenye misitu

Kutumia mfumo huo wa kimtandao, wataalamu wa misitu watanweza kutambua uwepo wa moto  haraka kwa kutumia mtandao badala ya kwenda kwenye eneo linaloungua hali ambayo ilikuwa inachelewesha utoaji wa  taarifa lakini pia moto kusababisha eneo kubwa la msitu kuteketea kwa moto.

Mfumo huo mpya wa kukabiliana na mioto katika maeneeo mbalimbali ya misitu, umeelezwa leo na  Mratibu wa Ufuatiliaji moto kwa njia ya satellite ndugu Kekilia Kabalimu  kwa baadhi ya wataalamu wa misitu Kanda ya Kusini  lengo ikiwa ni kuwajengea uwezo wa namna ya kutumia njia ya mtandao  kutambua  na kufuatilia mioto inayotokea na hatimaye kuweza kuizima mapema kabla haijaleta madhara makubwa.

Kekilia ameeleza kuwa  utambuzi na ufuatiliaji wa moto kwa njia ya mtandao itasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza uharibifu wa misitu kwa  urahisi  ambapo wataalamu wa misitu wataweza kutuma  taarifa ya tahadhari ya mpema juu ya uwepo wa moto, hali ambayo itawasaidia kujiweka tayari kuudhibiti kwa hraka zaidi

Kekilia amewataka wataalam  hao wa misitu  kutoa taarifa  kwa wananchi au jamii inayozungunga msitu juu ya uwepo wa moto kwenye msitu ili washiriki kuuzima moto huo kabla haujaleta madadha makubwa, vilevile watawajibika kuwaelimisha wananchi muda gani wanaweza kuchoma moto kwa kuzingatia uelekeo wa upepo.

Aidha Kekilia amesema kuwa kwa mwananchi  ambaye  anataka kuchoma moto wakati akisafisa shamba na kazi zingine azingatie ueleleo wa upepo kwakutumia njia ya  kuweka kidole mdomoni na kukitoa na kuacha kikauke kwa dakika moja , upande utakaokauka haraka ndiko upepo unakotokea hivyo itampasa achome moto kwa kuangalia upande wa kidole ambao haujakauka  kwani upepo unaongeza kasi ya moto kusambaa kwa haraka.

Akifungua mafunzo hayo  mwakilishi wa Meneja wa Wakala wa Misitu Tanzania Kanda  ya  Kusini  Mpokigwa Kibona amewasihi washiriki ambao ni wataalamu wa misitu kuwa makini katika mafunzo hayo ili wakaweze kupata uelewa mzuri wa namna ya kutambua , kufuatilia na kudhibiti mioto inayochomwa sana kwenye misitu ya hifadhi ikizigatiwa  kanda ya kusini inashika nafasi ya tatu katika vitendo vya uchomaji moto misitu ovyo.

“Nitashangaa kama mtaalamu wa misitu uliyepata mafunzo haya lakini ukashindwa  namna ya kutambua na kudhibiti  moto kwa haraka na hatimaye kupelekea moto kusababbisha madhara makubwa ya kuharibu misitu sitakuelewa”  alisema kibona

Mpokigwa Kibona akifungua mafunzo ya matumizi ya mtandao kutambua na kudhibiti moto  kwa niaba ya Meneja wa Misitu kanda ya kusini leo katika ukumbi wa jengo la makao makuu ya Wakala wa Misitu Tanzania kanda ya Kusini

Atupokigwe ameeleza  kuwa moto unaweza kutoea wakati wa kusafisha mashamba, vipisi vya sigara lakini pia uchomaji moto kwa makusudi, hivyo wataalamu wa misitu wanawajibu wa kuendelea kutoa elimu kwa jamii paoja na kutumia mfumo huo kutambua uwepo wa moto ili waweze kuudhibiti kwa haraka.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa