• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI YAANZISHA MFUMO MPYA WA UHASIBU NA UTOAJI WA TAARIFA KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA NA ELIMU

Posted on: June 8th, 2017

Waratibu elimu kata na wasimamizi wa vituo vya afya wakiwa kwenye mafunzo.

Serikali kupitia ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kushirikiana na mradi wa uimarishaji mifumo ya sekta za Umma ujulikanao kwa Kiingereza kama Public Sector Systems Strengthening, (PS3) unaofadhiliwa na shirika la mandeleo ya kimataifa la marekani (USAID) imetoa mafunzo ya Mfumo wa Uhasibu na Utoaji Taarifa za Fedha kwa ngazi ya Kituo cha Kutolea Huduma [Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)] kwa waratibu elimu kata na wasimamizi wa vituo vya kutolea huduma za afya lengo ikiwa ni kuwajengea uwezo juu ya upatikanaji wa taarifa sahihi katika mahesabu ya mapato na matumizi katika vituo vyao.

Hayo yamesemwa na Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Mji wa Masasi  ndugu Mwajabu Mkindi wakati akifungua mafunzo hayo kwa niaba ya mkurugenzi wa halmashauri hiyo kwa waratibu elimu elimu kata na wasimamizi wa vituo vya kutolea huduma za afya kutoka halmashauri ya wilaya nay a mji masasi leo na kueleza kuwa kuundwa kwa mfumo huu kutasaidia kuhakikisha fedha za ruzuku zinasimamiwa vizuri, na taarifa za matumizi yake zinatolewa kwa usahihi, tofauti na ilivyokuwa mwanzo.

Mkindi alisema kuwa  mfumo huu kuhakikisha kwamba vituo vyetu vya kutolea huduma vinakuwa na mfumo maalum wa kuaandaa taarifa za mapato na matumizi, na hii itachangia uwajibikaji na utoaji wa huduma bora kwa wananchi, hususani kutimia kwa lengo linalotarajiwa kupitia fedha hizo.

Vilevile, Mkindi alieleza kuwa mfumo huo utafanya vituo vya kutolea huduma  katika halmashauri zote mbili vinakuwa na mfumo maalum wa kuaandaa taarifa za mapato na matumizi, na hii itachangia uwajibikaji na utoaji wa huduma bora kwa wananchi, hususani kutimia kwa lengo linalotarajiwa kupitia fedha hizo.

Mkindi alikiri kuwa, kumekuwa na changamoto ya upatikanaji wa taarifa sahihi za rasilimali fedha zilizopo katika vituo vya  kutolea huduma, hali inayopelekea halmashauri kushindwa kutoa taarifa sahihi za matumizi ya ruzuku zinazotolewa katika vituo hivyo, na wakati mwingine kusababisha halmashauri kupata hati ya mashaka kutoka kwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwani   hakukuwa na mfumo sahihi wa kusaidia  kuepukana na tatizo  hilo.

Kutokana na uwepo wa mfumo huu  mpya sasa, utasaidia kuhakikisha kunakuwa na muundo maalum wa kuhifadhi taarifa za mapato na matumizi, na hivyo kuongeza uwazi na uwajibikaji wa vituo  vya kutolea huduma  kwa kutoa taarifa sahihi ya mapato na matumizi na hivyo kutoa fursa wananchi kuhoji  pale atakapoona kuwa huduma zinazotarajiwa kupatikana katika vituo hazitolewi kulingana na ruzuku iliyotolewa.

Kwa upande wake msimamizi wa mafunzo hayo ndugu Elineema Kisanga ambaye ni mtaalamu wa masuala ya fedha alisema kuwa mafunza haya yanalenga kuboresha Nyanja tano ikiwemo masuala ya fedha, utawala bora na ushirikishwaji wa raia, rasilimali watu na tafiti tendaji ambapo mambo haya yote kwa pamoja yanatarahissha utendaji kazi katika taasisi za umma.

Kisanga alifafanua kuwa mafunzo hayo yameanza ngazi ya mkoa na sasa tupo ngazi ya Halmashauri ambapo wanaopata mafunzo haya leo watakuwa wawezeshaji kwenye maeneo yao ya kazi, hivyo nawaomba wanasemina wawe wasikivu ili waelewe vizuri na hatimaye wakawafundishe watumishi wenzao kwenye vituo vyao vya kazi.

Kisanga Mradi huu  kwa sasa unatekelezwa katika mikoa 13 kwenye  Halmashauri 95 hivyo tunategemea mabadiliko makubwa katika utoaji wa taarifa za mapato na matumizi kwenye vituo vya kutolea huduma za elimu na afya kwa sasa.

Serikali kupitia ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kushirikiana na mradi wa uimarishaji mifumo ya sekta za Umma ujulikanao kwa Kiingereza kama Public Sector Systems Strengthening, (PS3) unaofadhiliwa na shirika la mandeleo ya kimataifa la marekani (USAID) imetoa mafunzo ya Mfumo wa Uhasibu na Utoaji Taarifa za Fedha kwa ngazi ya Kituo cha Kutolea Huduma [Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)] kwa waratibu elimu kata na wasimamizi wa vituo vya kutolea huduma za afya lengo ikiwa ni kuwajengea uwezo juu ya upatikanaji wa taarifa sahihi katika mahesabu ya mapato na matumizi katika vituo vyao.

Hayo yamesemwa na Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Mji wa Masasi  ndugu Mwajabu Mkindi wakati akifungua mafunzo hayo kwa niaba ya mkurugenzi wa halmashauri hiyo kwa waratibu elimu elimu kata na wasimamizi wa vituo vya kutolea huduma za afya kutoka halmashauri ya wilaya nay a mji masasi leo na kueleza kuwa kuundwa kwa mfumo huu kutasaidia kuhakikisha fedha za ruzuku zinasimamiwa vizuri, na taarifa za matumizi yake zinatolewa kwa usahihi, tofauti na ilivyokuwa mwanzo.

Mkindi alisema kuwa  mfumo huu kuhakikisha kwamba vituo vyetu vya kutolea huduma vinakuwa na mfumo maalum wa kuaandaa taarifa za mapato na matumizi, na hii itachangia uwajibikaji na utoaji wa huduma bora kwa wananchi, hususani kutimia kwa lengo linalotarajiwa kupitia fedha hizo.

Vilevile, Mkindi alieleza kuwa mfumo huo utafanya vituo vya kutolea huduma  katika halmashauri zote mbili vinakuwa na mfumo maalum wa kuaandaa taarifa za mapato na matumizi, na hii itachangia uwajibikaji na utoaji wa huduma bora kwa wananchi, hususani kutimia kwa lengo linalotarajiwa kupitia fedha hizo.

Mkindi alikiri kuwa, kumekuwa na changamoto ya upatikanaji wa taarifa sahihi za rasilimali fedha zilizopo katika vituo vya  kutolea huduma, hali inayopelekea halmashauri kushindwa kutoa taarifa sahihi za matumizi ya ruzuku zinazotolewa katika vituo hivyo, na wakati mwingine kusababisha halmashauri kupata hati ya mashaka kutoka kwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwani   hakukuwa na mfumo sahihi wa kusaidia  kuepukana na tatizo  hilo.

Kutokana na uwepo wa mfumo huu  mpya sasa, utasaidia kuhakikisha kunakuwa na muundo maalum wa kuhifadhi taarifa za mapato na matumizi, na hivyo kuongeza uwazi na uwajibikaji wa vituo  vya kutolea huduma  kwa kutoa taarifa sahihi ya mapato na matumizi na hivyo kutoa fursa wananchi kuhoji  pale atakapoona kuwa huduma zinazotarajiwa kupatikana katika vituo hazitolewi kulingana na ruzuku iliyotolewa.

Kwa upande wake msimamizi wa mafunzo hayo ndugu Elineema Kisanga ambaye ni mtaalamu wa masuala ya fedha alisema kuwa mafunza haya yanalenga kuboresha Nyanja tano ikiwemo masuala ya fedha, utawala bora na ushirikishwaji wa raia, rasilimali watu na tafiti tendaji ambapo mambo haya yote kwa pamoja yanatarahissha utendaji kazi katika taasisi za umma.

Kisanga alifafanua kuwa mafunzo hayo yameanza ngazi ya mkoa na sasa tupo ngazi ya Halmashauri ambapo wanaopata mafunzo haya leo watakuwa wawezeshaji kwenye maeneo yao ya kazi, hivyo nawaomba wanasemina wawe wasikivu ili waelewe vizuri na hatimaye wakawafundishe watumishi wenzao kwenye vituo vyao vya kazi.

Kisanga Mradi huu  kwa sasa unatekelezwa katika mikoa 13 kwenye  Halmashauri 95 hivyo tunategemea mabadiliko makubwa katika utoaji wa taarifa za mapato na matumizi kwenye vituo vya kutolea huduma za elimu na afya kwa sasa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa