• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC-MTWARA AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI KWA KUPATA HATI SAFI

Posted on: June 18th, 2021

HALMASHAURI ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara imepata hati safi kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 baada ya kufanya vizuri katika maeneo tofauti ikiwemo matumizi na ukusanyaj wa fedha, usimamizi wa mapato pamoja na usimamizi wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Brig Jen. Marco E. Gaguti ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Masasi, kwa kupata hati safi katika ukaguzi wa hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2019/2020.

Brig Jen, Gaguti ametoa pongezi hizo  Juni 17,2021 katika kikao maalumu cha Baraza la Madiwani kilichoketi kwa ajili ya kujadili hoja za ukaguzi (CAG) kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri uliopo Mbuyuni na kuongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo,Mh. Ibrahimu Chiputula.

Brig Jen, Marco Gagut amesema madiwani na watendaji kwa ujumla wanapaswa kuongeza nguvu zaidi katika ukusanyaji wa mapato na usimamizi bora wamatumizi ya fedha ili kuwa na ufanisi mzuri katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Ameliambia baraza hilo kuwa katika kipindi cha uongozi wake kama Mkuu wa Mkoa wa Mtwara atahakikisha kuwa fedha za serikali za miradi ya maendeleo zinatumika kama inavyokusudiwa na miradi yote ya maendeleo inakamilika kwa wakati na kwa ufanisi.

Katika hatua nyingine, Brig. Jen, Gaguti amewataka waheshimiwa madiwani, watendaji wa serikali na wananchi kwa ujumla Mkoani Mtwara kila mmoja kwa nafasi yake kuweka mkazo wa kuhubiri na kuimarisha suala la ulinzi na usalama ndani ya Mkoa wa Mtwara ili amani iliyopo hivi sasa iyendelee kuwepo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri, Mhe. Ibrahimu Chiputula amesema Halmashauri itaendelea kusimamia kikamilifu matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo ili Halmashauri hiyo iendelee kupata hati safi ya ukaguzi wa hesabu za Serikali kwa kipindi kijacho.

Kwa upande wa wajumbe ambao ni waheshimiwa madiwani wamesema kuwa watahakikisha wanaonyesha ushirikiano wa pamoja na mkuu wa Mkoa kwa mambo mbalimbali ya kiuchumi na Maendeeleo ili kuhakikisha mapato ya Halmashauri yanaongezeka.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa