• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI YAJIPANGA KUWA NA MATOKEO MAZURI KIDATO CHA SITA,2019

Posted on: July 26th, 2018

Kufuatia Mkoa wa Mtwara kushika nafasi ya kwanza katika matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2018, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi imechukua hatua ya kujipanga  mapema kuhakikisha inakuwa na matokeo mazuri ya kidato cha sita mwaka 2019 kwa kupanga mikakati ya kuboresha ufundishaji ambapo walimu wa masomo mbalimbali watapigwa msasa.

Hayo yamebainishwa na Afisa Elimu Sekondari wa Halmashauri hiyo  ndugu Juma Kasandiko wakati wa kikao na wakuu wa shule zenye wanafunzi wa kidato cha tano na sita kilicholenga kuweka mikakati itakayopelekea  wanafunzi wa shule hizo kufanya vizuri katika mitihani ya Taifa kwa mwaka 2019 na kuiletea sifa Halmashauri lakini pia na Mkoa kwa ujumla.

“Pamoja na kufanya vizuri katika matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka huu 2018, bado tumeona tusiridhike na matokeo hayo, hivyo tumepanga kuwa na utaratibu wa walimu wa masomo ambayo ni magumu ikiwemo hesabu na kiingereza kupigwa msasa na walimu wenye uwezo mzuri kwenye baadhi ya mada ambazo ni ngumu ili kuwawezesha kufundisha vizuri” alifafanua Kasandiko.

Kasandiko alieleza kuwa kwa mwaka 2018, Halmashauri ya Wilaya ya masasi ilikuwa na shule moja tu ya kitado cha tano na sita ilyoshiriki mitihani ya kitado cha sita lakini kwa mwaka 2019 shule 4 zitafanya mitiani hiyo, hivyo ni vizuri kujipanga mapema ili kuhakikisha ufaulu unaongezeka zaidi.

“Naipongeza shule ya Ndanda Sekondari kwa kufaurisha wanafunzi wote 470 kwa daraja la kwanza mpaka la tatu na zuri zaidi hakuna daraja la nne wala sifuri ni kazi kubwa iliyofanywa na walimu kuwafundisha wanafunzi, nina imani kwa mikakati hii shule za Abbey, Ndwika na Chidya zitafanya vizuri pia” alieleza kasasndiko

Kati ya wananfunzi 470 walifanya mtihani na kufaulu, wanafunzi 395 walikuwa michepuo ya sayansi na 75 ni wa masomo ya sanaa hivyo inaonyesha kiasi gani walimu walitekeleza wajibu wao kwa kiasi kikubwa.

Aidha Kasandiko alibainisha kuwa  kati ya wanafunzi 172 waliopata daraja la kwanza Kimkoa, wananfunzi 64 wametoka shule ya sekondari ndanda, kwa daraja la pili kati ya wanafunzi 848 wanafunzi 293 ni wa shule ya ndanda na kati ya wanafunzi 468 waliopata daraja la tatu 113 wametoka shule ya ndanda.

Akiongea kwa niaba ya  wakuu wa walimu wengine mkuu wa shule ya sekondari Ndanda ndugu Mongate alisema kuwa kwa mkakati huo ana imani kuwa utaleta matokeo chanya kwa kuongeza ufaulu kwani kama walimu watakuwa na uwezo wa kufundisha mada zote kwa umahili mkubwa hali itakayowasaidia wananfunzi kufanya vizuri mitihani yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa