• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAKUU WA DIVISHENI, VITENGO NA MAAFISA BAJETI WAPIGWA MSASA NAMNA YA UANDAAJI WA MIPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

Posted on: November 18th, 2025

WAKUU WA DIVISHENI, VITENGO NA MAAFISA BAJETI  

Wakuu wa Divisheni, Vitengo na Maafisa bajeti wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara wamepatiwa mafunzo ya uandaaji wa mipango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/2027 huku wakisisitizwa kuhakikisha vile vipaumbele muhimu vya Maendeleo kwa ajili ya Halmshauri vinawekwa katika mipango yao.

Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Ndg.Alphaxard Etanga wakati akifungua mafunzo hayo ya siku moja kwa maafisa hao ambapo pamoja na mambo mengine amebainisha mambo kadhaa ya kuzingatia ikiwemo miongozo ya mipango na bajeti inayotolewa kila mwaka kwa kuzingati Dira ya Taifa ya Maendeleo, Mpango wa Taifa wa maendeleo wa muda wa kati na sera za kitaifa.

"Nyinyi maafisa bajeti wa Halmashauri nawaomba sana, mnapokuwa mnaandaa bajeti zenu zingatieni taratibu zote muhimu katika uandaaji wa Mipango na bajeti ili kuleta matokeo mazuri yatakayorahisisha utekelezaji wa mpango katika shughuli za kila siku, mimi mara kwa mara  nimekuwa nikiwaambia wakuu wa idara wakae na wataalamu wao kwa pamoja mshirikiane kuona ni vitu gani ambavyo vinatukwamisha kwenye bajeti zetu ili virekebishwe, mzingatie sasa uwazi na usahihi wa malengo,  shabaha na hasa yale maeneo muhimu ya vipaumbele na shughuli husika zitakavyotekelezeka kwa  Halmashauri wekeni katika mipango na bajeti zenu ili kuonyesha uhalisia wa Taasisi ilipo, mwelekeo na kusudio tarajiwa"... alieleza Mkurugenzi huyo.


Kwa upande wake Mwezeshaji wa mafunzo hayo kutoka Idara ya Mipango na Uratibu Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Bw.Godfrey Makenzi amesisitiza umuhimu wa kuzingatia uchaguzi wa malengo kwa kuzingatia mpango wa bajeti na kuhakikisha shabaha zinazowekwa zinatekelezeka.

"Uandaaji wa mipango na bajeti ya Serikali ni muhimu kwa sababu ndiyo nyenzo kuu ya kusimamia mipango ya Maendeleo na matumizi ya rasilimali za Serikali, hivyo mipango na bajeti moja kwa moja huonyesha vipaumbele vya Serikali kwa mwaka husika katika sekta mbalimbali kama afya elimu, utawala na miundombinu "..alifafanua zaidi Mwezeshaji huyo.

Mafunzo hayo siku moja yaliyofanyika mapema tarehe 18 Novemba 1025  katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo uliopo Mbuyuni Masasi,  yamehudhuriwa na maafisa bajeti kutoka Divisheni na Vitengo vyote, sambamba na maafisa kutoka Hospitali, zahanati na Vituo vya Afya vilivyopo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Masasi.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI MASASI DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI NDG.ETANGA.

    December 03, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MASASI DC LAFUNGULIWA HUKU DIWANI WA KATA YA NDANDA MHE.BASHIRU MBONECHE AKICHAGULUWA KUWA MWENYEKITI MPYA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    December 03, 2025
  • MASASI DC YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA.

    November 19, 2025
  • WAKUU WA DIVISHENI, VITENGO NA MAAFISA BAJETI WAPIGWA MSASA NAMNA YA UANDAAJI WA MIPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    November 18, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa