• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAFANYABIASHARA WA MAZAO YA MISITU WATAKIWA KUFUATA SHERIA

Posted on: February 15th, 2018

Biashara ya mazao ya misitu ikiwemo Mkaa, kuni, mbao na mengine wilayani Masasi imekuwa na changamoto kutokana na wengi wao kutofuata sheria na kanuni ya misitu ikiwemo kutokuwa na vibali na leseni za kufanya biashara hiyo.

Kutokana na changamoto hiyo Wakala wa Misitu Wilayani Masasi inawakumbusha wafanyabiashara wote kutambua sheria na kanuni zilizowekwa na idara hiyo ili waweze kutambulika lakini pia kuzuia uvunaji holela wa mazao Hayo hali inayopelekea uharibifu mkubwa wa misitu.

Akiongea na wananchi wakati wa ziara ya kutoa elimu juu ya sheria zinazotakiwa kufuatwa, Afisa misitu mbwana Milanzi alisema kuwa idara ya misitu inapita kutoa elimu juu ya sheria na taratibu za kufanya biashara ya misitu kwa mara ya mwisho na baada ya Elimu hii sheria itafuata mkondo wake.

"Sio mara ya Kwanza kwa wakala wa misitu wilani Masasi kutoa elimu hii kwa wananchi, hivyo watu wanafahamu ndio maana wakikutana na watu wa maliasili wanakimbia. Hivyo kwa anayetaka kuendelea kufanya biashara ya misitu ni lazima afuate sheria ili kulipa kodi ya serikali na kulinda misitu yetu ambayo ina faida kubwa kwa maisha ya binadamu" alisema milanzi.

Sheria hizo ni :

1. Kila mfanyabiashara lazima asajiriwe na wakala wa huduma za misitu tanzania

2. Kila mvunaji wa mazao ya misitu lazima awe na leseni na kila gunia la mkaa linatakiwa kukatiwa risiti
halali ya malipo ya serikali kuu na Halmashauri.

3.kila msafirishaji wa mazao ya misitu lazima awe na kibali kusafirishia kianachomruhusu kusafirishia
mazao Hayo ikionyesha Mahali mazao yanapotoka na yanapoenda ikiambatanishwa na leseni

4. Usafirishajk wa mazao ya misitu ni kuanzia saa 12.00 asubuhi hadi 12.00 jioni.

5. Ni marufukukusafirishia mkaa kwa kutumia baiskeli au pikipiki

6. Biashara ya mkaa lazima ifanyinyike katika maeneo maalumu yaliyoainishwa.

7. Ni marufuku kwa mfanyabiashara wa mkaa kufanya biashara hiyo kandokando ya Barabara au
nyumbani

8. Kwa wanunuzi wote wa mkaa kwa ajili ya matumizi ya kaya lazima awe na risiti halali ya serikali
inayoonesha malipo halali ya serikali inayoonesha malipo halali yaliyofanyika kwa idadi ya magunia ya
mkaa aliyonunua.

NB: Gharama ya usajili ni shilingi 261,000 kwa mwaka, kila gunia gunia la mkaa litalipiwa shilingi 2650 kama sheria 2 inavyoainisha

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa