• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kipindi Oktoba- disemba (Robo ya Pili) 2017-2018

Start Date: 2017-07-01
End Date: 2018-06-30

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA ROBO YA PILI (OKTOBA – DISEMBA), 2017.

Mhe. Mwenyekiti,Katika mwaka wa fedha 2017/2018, Halmashauri ilipanga kutekeleza miradi ya maendeleo yenye thamani ya fedha Shs. 7,645,346,600.00 kati ya hizo; Shs.3, 752,900,000.00 ni fedha za ndani (Serikali Kuu) na Shs 958,227,000.00 ni fedha za nje (Wahisani), na Shs. 2,934,219,600.00 ni fedha za Mapato ya Ndani. 

Katika kipindi cha Julai 01, 2017 hadi Disemba 31, 2017, jumla ya shs. 1,780,652,427.73 zimepokelewa ambayo ni sawa na asilimia 23.29 ya bajeti yote ya Miradi ya Maendeleo. Fedha zilizopokelewa ni kwa ajili ya Ujenzi wa Ukumbi na Ofisi za Halmashauri Tshs. 200,000,000.00, Mfuko wa Jimbo shs. 76,975,000.00, Elimu bila malipo Msingi shs. 404,518,908.00, Elimu bila malipo Sekondari shs. 488,143,529.79, Mradi wa UNICEF shs.121, 260,890.00, Mfuko wa pamoja wa Afya shs.123, 534,400.00, Mapato ya Ndani ya Halmashauri shs. 322,219,600.94 na Ruzuku ya usambazaji maji vijijini sh. 44,000,000.00

 

Pia Halmashauri imepokea shs. 4,976,737,634.84 Fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi ya Maendeleo ambazo hazikuwepo kwenye Bajeti ya Mwaka wa fedha 2017/2018. Fedha hizo ni kwa ajili ya Miradi ya TASAF shs. 1,977,858,751.59, Mfuko wa Maji vijiji shs. 1,435,052,639.25, Delloitte shs.16, 145,000.00, Mfuko wa maendeleo ya Wanawake na Vijana shs. 16,000,000.00, Magonjwa yasiyopewa kipaumbele (NTD) shs. 65,881,294 na Mpango wa kuboresha vituo vya Afya shs. 400,000,000.00, Ujenzi wa miundombinu shule ya msingi Chiwata sh. 86,600,000.00, ujenzi wa miundombinu shule ya msingi Chidya sh.86, 600,000.00, Ujenzi wa miundombinu shule ya Sekondari Ndwika sh. 400,000,000.00, Ujenzi wa miundombinu shule ya sekondari Chidya sh. 400,000,000.00 na Ujenzi wa miundombinu shule ya Msingi Nairombo sh.66,600,000.00

Hivyo kufanya jumla ya Fedha zote zilizopokelewa nje ya bajeti kwa ajili ya Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa kipindi cha kuanzia Julai 01, 2017 hadi Disemba 31, 2017 kuwa shs. 6,731,390,062.57, kati ya hizo Shs. 4,571,545,480.22 zimetumika sawa na asilimia 67.91 ya fedha zilizopokelewa.  

Pia katika kipindi hiki cha Julai 01, 2017 hadi disemba 31, 2017 Halmashauri imeendelea kutekeleza miradi ya mwaka 2016/2017 yenye thamani ya shs.148, 085,085.49 kwa fedha za BAKAA ambapo hadi Disemba 31, 2017 jumla ya shs. 123,315,335.78 zimetumika sawa na asilimia 83.27 ya fedha zilizovuka mwaka wa fedha 2016/2017.Bofya hapa kuona miradi iliyopangwa kutekelezwa.

MIRADI YA MAENDELEO 2017 - 2018.xls

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA NeST NA SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

    March 12, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM WILAYA YA MASASI YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    March 06, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YANATOA FURSA KILA MMOJA KUJUA HAKI YAKE YA MSINGI: MHE MAJALIWA

    March 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa