Posted on: October 17th, 2018
Asasi ya Haki Elimu imetoa msaada wa vitabu 823 kwa shule za msingi,sekondari na maktaba ya jamii wilayani masasi lengo ikiwa ni kuunga mkono juhudi za serikali za kuboresha elimu kwa kusaidia k...
Posted on: September 29th, 2018
Baada ya uchunguzi kufanyika juu ya vurugu zilizofanywa na wanafunzi wa shule ya sekondari chidya tarehe 1 septemba 2018 na kusababisha hasara ya zaidi ya milioni 18, Bodi ya shule ya sekondari ...
Posted on: September 28th, 2018
Mhe. WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani ameeleza kuwa, serikali kupitia mradi wa REA III unaotekelezwa nchini imedhamilia kuweka umeme nyumba kwa nyumba kuanzia nyumba ya nyasi hadi ya ghoro...