• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI WAPYA WA AFYA WASISITIZWA KUTOA HUDUMA BORA

Posted on: August 27th, 2018

Watumishi wapya  31 wa Idara ya afya Halmashauri ya Wilaya ya Masasi wamesisitizwa   kutambua wajibu wao wa kuwahudumia wananchi vizuri kwani ndio lengo la serikali  kuhakikisha wananchi wote wakiwemo wa vijijini wanapata huduma nzuri za afya katika maeneo yao kwa kuwaleta watumishi kwenye vituo vya kutolea huduma za afya.

Watumishi wapya na wawezeshaji wakimsikiliza mgeni Rasmi wakati wa ufunguzi (hayupo kwenye picha)

Msisitizo huo umetolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Changwa Mkwazu wakati akifungua semina elekezi kwa watumishi hao iliyolenga kuwajengea uwezo wa masuala mabalimbali ya utumishi wa umma pamoja na wajibu wao mkubwa katika kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa wananchi.

Watumishi wapya wakisikiliza kwa makini maelekezo wakati wa mafunzo elekezi katika utumishi wa umma yaliytolewa na wataamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Mkwazu ameeleza kuwa Halmashauri inaupungufu wa watumishi wa kada mbalimbali ikiwemo afya, hivyo watumishi hao wapya watasaidia kupunguza tatizo la upungufu wa watumishi katika vituo vya kutolea huduma hali ambayo itapelekea kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi kwani wataalamu wapo kwa kiasi Fulani.

“Vituo vyetu sasa vimepata wataalamu tuliokua tunawategemea, hivyo nategemea mabadiliko makubwa ya utoaji wa huduma  unaozingatia maadili na taratibu za uuguzi kwa timu hii ya watu 31” alisema Mkwazu

Watumishi wapya wakifuatilia maelekezo

Mchango wenu unahitajika katika  kuhakikisha wananchi hawalalamiki kwa kutokuhudumiwa vizuri kwani hali hiyo inasababisha wananchi kuvichukia vituo vya serikali na hatimaye kuamua kutumia dawa za kienyeji ambazo sio salama lakini pia sio lengo la serikali, alisisitiza Mkwazu.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mheshimiwa Juma Satmah akitoa neno kwa watumishi wapya wakati wa  semina elekezi (hawako pichani)

Mkwazu aliwaeleza kuwa “kazi ya kuhudumia afya za watu ni nyeti sana hivyo mnatakiwa kufanya kazi hii kwa moyo na kujitolea sana, wapokeeni vizuri nakuwa na lugha nzuri kwani ugonjwa hauna muda, mtu anaweza kuumwa muda wowote na lazima apate huduma, msichoke”

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa