• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI WA UMMA WILAYANI MASASI WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA PEPMIS PIPMIS

Posted on: June 26th, 2025

Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu Optatus Lusolela, leo tarehe 26 juni 2025 amefungua Mafunzo ya matumizi ya Mfumo wa utendaji kazi wa Taasisi (PIPMIS) na mafunzo ya mfumo wa Utendaji kazi kwa Watumishi wa Umma (PEPMIS).

Mafunzo hayo ya siku moja ambayo yamefanyika katika ukumbi wa zamani wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi,  uliopo Masasi mjini yamewakutanisha kwa pamoja Watumishi wa Umma kutoka Halmashauri ya mji Masasi pamoja na watumishi umma wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi.

Akizungumza wakati akifungua Mafunzo hayo Ndg. Lusolela amesema kwamba lengo kubwa la kutoa mafunzo hayo kwa Halmashauri zote mbili juu ya matumizi ya Mfumo wa kupima utendaji kazi kwa Watumishi wa Umma ni kuendelea kuwajengea uwezo wa  namna nzuri ya utumiaji wa mfumo huo na hatmaye waweze kuongeza ufanisi wa utendaji kazi.

"Serikali imetumia fedha nyingi baada ya kuona kuna Watumishi wamekosa stahiki zao, japo hapo  awali kuna waraka ulitolewa kuwa tunapaswa kuanza kutekeleza mfumo huu wa utendaji kazi (PEPMIS), PIPMIS , kwaiyo niwaambie washiriki huu ni utekelezaji wa kisheria na ndio maana Serikali baada ya kuona huu udhaifu imewatoa Wataalamu wa Utumishi nchi nzima wanazunguka katika maeneo yetu na kutupa elimu hii, hili suala ni la umuhimu sana naomba tuwe na desturi ya kupitia miongozo ya mfumo huu wa Usimamizi wa utendaji kazi kwa Watumishi wa Umma na tukifanya hivyo hatutakuwa na udhaifu katika mfumo huu " alisisitiza Lusolela

Ameongeza kuwa kwasasa kila kitu kinaenda kwa hatua mfano kuna uandaaji wa mpango,Ufuatiliaji wa utekelezaji, Uishaji wa mipango, tathimini ya utendaji kazi na masuala mengine hivyo  amewaomba kusikiliza kwa umakini na kuyafanyia kazi yale yote ambayo wanafundishwa ili katika mwaka mpya ujao wa fedha unaoanzia mwezi julai 2025 watekeleze vizuri  na weledi mkubwa hatmaye waendelee kuweka Utumishi wa Umma imara.

Kwa upande wake Mwezeshaji wa mafunzo hayo kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw.David Jeremiah Wembe amesema, wapo kwenye zoezi la kuwajengea uwezo wasimamizi, watumishi kwenye eneo la utendaji kazi katika mfumo.


 "Kama kuna mtu yeyote au msimamizi alikuwa hajaelewa sehemu yeyote tumekuja kutoa elimu na ufafanuzi ili tuwe na uwelewa wa pamoja kwa maana mfumo huu umesha anza kuleta matokeo kwenye utendaji kazi wetu".

Nao baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wameishukuru Serikali kwa kuendelea kuwapatia elimu ya namna nzuri ya utumiaji wa mfumo wa Usimamizi wa utendaji kazi (PEPMIS)na kwamba wamehaidi kuitumia vyema elimu hiyo ili kuepuka zile changamoto ambazo walikuwa wakikutana nazo wakati wanapotakiwa kuutumia mfumo huo.


Mafunzo hayo yamewashirikisha Wakurugenzi kutoka Halmashauri zote mbili, Wakuu wa Idara na Vitengo, Watendaji wa kata, Wakuu wa shule, Walimu wakuu na Wafawidhi .


26/06/2025.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI YAMKABIDHI PIKIPIKI MPYA AINA YA SANLG BW.YUSUF SIJAONA KARUME KAMA FIDIA.

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA UMMA WILAYANI MASASI WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA PEPMIS PIPMIS

    June 26, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI LAVUNJWA RASMI.

    June 19, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA YAANZA VIZURI MASASI DC

    June 17, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa