• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI WA AFYA WAMEKUMBUSHWA KUFANYA KAZI KWA WEREDI ILI KUPUNGUZA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI

Posted on: July 12th, 2017

Naibu Waziri wa Afya, Dk. Hamisi Kigwangalla  amewataka watumishi wa idara afya  katika vituo vya kutolea huduma za afya kufanya kazi kwa weredi mkubwa ili kupunguza vifo vya akina mama na watoto kabla na baada ya kujifungua kwa kuhakikisha zile sababu zinazopelekea  vifo zinazuilika.

Dk kigwangalla ameyasema hayo akiwa kwenye ziara ya kutembelea vituo vya afya na zahanati  katika Halamshauri ya Wilaya ya Masasi katika kituo cha Nagaga alipotembelea kituo hicho na kujionea vifaa tiba, vitendanishi na miundombinu ya kituo hicho na kueleza kuwa madaktari wana nafasi kubwa ya kupunguza vifo vya akina mama vinavyotokana na  uzazi kwa kuhakikisha wanapatiwa huduma bora kwa mujibu wa sheria na taratibu.

Dk kigwangalla ameeleza kuwa azima ya serikali ni kupunguza vifo vya akina mama vinavyosababishwa kwa  madaktari kutumia weredi wao ipasavyo katika kuwahudumia wamama wajawazito kabla na baada ya kufungua ikiwa ni pamoja na kuhakikisha hawapati magonjwa ya kuambukizwa wakati wa kujifungua.

Akiwa kwenye kituo cha Nagaga Dk kigwangalla amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji  wa halmashauri hiyo bi Changwa M Mkwazu  kuhakikisha anajenga chumba cha Upasuaji mdogo  katika kituo cha Nagaga ili kusaidia kutatua matatizo madogomadogo ya upasuaji kwa wagonjwa watakaofikishwa hapo.

Pamoja na agizo la kujenga chumba cha maabara katika kituo cha afya Nagaga amesikitishwa na uwepo mashine ya kuhifadhi damu ambayo haijafanya kazi tangu ilipoletwa na wafadhili kutokana na ubovu wake  kwani hazileti tija ya kutoa huduma bora

 Kiutaratibu kila kituo cha afya kinapaswa kuwa na chumba cha upasuaji kikiwa na vifaa mbalimbali ikiwemo mashine za kutunzia damu ili mgonjwa anayehitaji damu baada ya upasuaji aweze kupata bila shida hivyo kutofanya kazi kwa vifaa hivyo kungesababisha vifo kwa wagonjwa ambao wanahitaji kuongezwa damu baada ya kufanyiwa upasuaji.

Katika ziara hiyo, Dk. Kigwangalla  akiwa katika Zahanati ya lulindi, aliweza kukagua maeneo mbalimbali  na kuwapongeza watumishi wa kituo hicho kwa kuweka mazingara safi pamoja na kutoa huduma bora kwa wananchi wa kijiji hicho hali inayowafanya wananchi wa kawaida  kufurahia huduma.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa