• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI WATAKIWA KUSIMAMIA UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: June 17th, 2017

Watendaji wengi wa Kata na Vijiji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara wametakiwa kuendana na kauli mbiu ya serikali inayosisitiza kusimamia kwa hali na mali ukusanyaji wa mapato katika maeneo yao kwani fedha hizo  ndizo zinazotumika kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo kwa wananchi.

Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Bi Changwa  M. Mohamed Mkwazu leo  kwenye kikao cha mafunzo kwa watendaji wa kata na vijiji wa Halmashauri hiyo yaliyolenga kuwaelewesha kwa wale watendaji wanaokaimu  na kuwakumbusha wale walioajiriwa   majukumu yao ili waweze kufanya kazi kwa  kuendana na  kauli mbiu ya mheshimiwa Rais ya  “HAPA KAZI TU kwa vitendo kwa kuhakikisha tunadhibiti upotevu wa mapato ambao kwa sasa ni upo kwa kiasi kikubwa sana.

Mkwazu amesema kuwa kuna baadhi ya watendaji wamekuwa na tabia ya kuacha wafanyabiashara  wakitorosha mazao au kushirikiana nao kutoroja kwa kuwapa vibari vya kusafirisha mizigo hiyo kwa maslai  yao, tabia ambayo inafanya halmashauri na vijiji vyetu kukosa mapato ambayo yangetumika kutekeleza miradi ya maendeleo kwenye maeneo yao baada ya kukusanywa.

“ Tumeona tufanye mafunzo haya baada ya kuona baadhi ya watendaji hawajui kabisa cha kufanya  kwa Halmashauri yao  katika mambo tofauti  ikiwemo usimamizi wa  mapato na miradi ya maendeleo ambayo inatekelezwa kwa fedha za serikali na inakuwa chini ya viwango” alisema Mkwazu.

Kwa sasa Halmashauri ipo kwenye msimu wa kuvuna na kuuza zao la choroko na utoroshaji umekuwa mkubwa mno wakati wakulima wapo kwenye vijiji na kata na watenndaji wapo na hawachukui hatua, “baada ya mafunzo haya ninategemea  mtabooresha utendaji kazi wenu kwa kujua nafasi zenu katika kuleta maendeleo ya vijiji, kata na halmashauri kwa kutekeleza wajibu wanu vizuri kama ntakavyoelekezwa leo” alisema Mkwazu.

Mkwazu amewaambia watendaji hao kuwa , Halmashauri kila mwaka  huwa inarejesha shilingi tano kwenye kila kilo ya zao la korosho kwa kila kijiji nia ikiwa ni kuhamasisha viongozi na wananchi ili waone umuhimu wa kulinda  upotevu wa mapato ambayo hupotezwa na wananchi wasiouza korosh zao bia kufuata mfumo rasmi lakini cha kusiskitisha ni watendaji wachache sana ambao hutoa ushirikiano wa kutosha na wakati mwingine baadhi yao hudhubutu hata kutetea watu hao wanaoiibia halmashauri Ushuru.

 Aidha kwa upande wake mtendaji wa kata  ya Chiungutwa  ndugu Joseph Kazibure amesema kuwa mafunzo hayo yamekuja wakati muafaka sana kwani yatatusaidia kuongeza uelewa kwa watendaji namna ya kufanya kazi zao za kila siku ikiwemo usimamizi wa miradi, ukusanyaji wa mapato pamoja na kutambua kanuni, taratibu na Miongozo ambayo mtumishi wa umma anatakiwa kufuata katika kutekeleza majuku yao.

Aidha Kazibure alikiri kuwa kwenye vijiji na kata kuna changamoto nyingi sana kwa ni kuna baadhi ya watendaji wanashindwa kusimamaia shughuli za maendeleo na wakati mwingine wao wanakuwa sehemu ya kikwazo cha maendeleo lakini kwa mafunzo haya “naamini kutakuwa na madadiliko makubwa katika kusimamia shughuli za maendeleo ikiwemo usimamizi wa mapato ambao ndio kiini cha utoaji wa huduma mbalimbali kwa umma ikiwemo ujenzi wa shule, vyoo, maradarasa na miradi mingine.

Naipongeza halamshauri kwa mafunzo haya kwani yataleta chachu kubwa katika kuboresha utendaji kazi kwa watendaji wa vijiji na kata lakini pia kuamusha ari ya kufanya kazi kwa wale wliokuwa wanazembea kwani wanjua serikali ipo na inawatazama na inawategemea katika kuleta maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa