• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATENDAJI KATA, VIJIJI NA MITAA MASASI WAPIGWA MSASA KODI YA MAJENGO

Posted on: March 6th, 2019

Mamlaka ya Mpato Tanzania (TRA)  Wilayani masasi, imewaomba watendaji wa kata, vijiji na mitaa katika Halmashauri ya wilaya na mji Masasi kusaidia ukusanyaji wa kodi ya majengo katika maeneo yao ili kufanikisha ukusanyaji wa mapato ya serikali kupitia chanzo hicho.

Akizungumza katika kikao cha TRA na watendaji hao, Afisa mapato wa TRA Mkoa wa Mtwara  Edwin Nkinga alisema,  kodi ya majengo inatozwa kwa nyumba zilizopo katika maeneo yote yaani kuanzia ngazi ya vijiji, mitaa na kata ndio maana watendaji wanahusika moja kwa moja kutambua nyumba zote zilizopo katika maeneo yao ili zilipiwe kodi kama sheria inavyoelekeza .

Nkinga  alieleza kuwa “Kikao hiki kinalenga kuwaelimisha  nyinyi watendaji  ili muweze kujua  wajibu na majuku yenu  katika ukusanyaji wa kodi za majengo ambapo majengo yanayotozwa kodi ni yale yanayotumika”

Nkinga alifafanua kuwa, Sheria ya kodi ya majengo inataja kiasi cha kodi kuwa ni shilingi 10,000 kwa nyumba za kawaida 20,000 kwa majengo ya ghorofa maeneo ya vijijini na 50,000 kwa majengo ya ghorofa maeneo ya mijini. 

 

Aidha Nkinga alieleza kuwa baadhi ya majengo yanapata msamaha wa kodi yakiwemo majengo yanayotumiwa na Taasisi za Umma, majumba ya makumbusho au maktaba, majengo ndani ya makaburi, nyuma zilizoezekwa kwa nyasi na  za udongo

Alisema watendaji hao wanatakiwa kusimamia ukusanyaji wa kodi za majengo katika maeneo yao kwa kutumia mfumo wa bili za majengo kutoka TRA kwa kutambua nyumba zote zilizopo kwenye maeneo yao kwa kujaza fomu kila mwaka ili kutambua idadi ya nyuma zilizopo  na hatimaye ziweze kuliiwa kodi kulingana na hadhi ya jengo husika.

Kodi za majengo ni chanzo kingine cha mapato ya serikali, hivyo watendaji wote wanatakiwa  kwa ajili ya nyumba zote zinazostahili kulipa kodi kwenye daftari la makazi katika maeneo yao.

 Alisema sheria ya utoaji kodi ya majengo ya mwaka 1983 imeainisha maeneo yanayotozwa kodi ya majengo kuwa ni Halmashauri za miji, majiji, manspaa na wilaya.

Awali kodi za majengo ilikuwa inakusanywa na Halmashauri zote nchini, lakini mwaka 2016 kupitia bunge la bajeti serikali ilirekebisha sheria kodi ya majengo na kuipa TRA jukumu la kukadilia,kukusanya na kuhesabu kodi ya majengo katika halmashauri zote nchini.

Aidha, alisema  kuwa kwa atakae kaidi kulipa kodi  kwa wakti  atachukuliwa hatua ikiwemo  kulipa  riba  kama adhabu, kufikishwa mahakamani  au kukamatiwa mali zake na kuuzwa ili kulipa kodi anayodaiwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa