• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WALIMU WAKUU MASASI WAPATA MAFUNZO YA MFUMO MPYA WA UTUMAJI WA TAARIFA NA TAKWIMU

Posted on: June 1st, 2018


Walimu wakuu wa shule za msingi  125 wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara wapewa mafunzo kuhusu mfumo mpya wa utoaji wa taarifa na takwimu shuleni lengo ikiwa ni  kuhakikisha utoaji wa taarifa hizo unakuwa     sahihi, rahisi na kwa haraka zaidi.

 Mfumo huu unampa nafasi mwalimu mkuu kutuma taarifa na takwimu za shule yake ambazo zitaonekana pia ngazi ya halmashauri, mkoa na OR –TAMISEMI kwa wakati mmoja tofauti na hapo awali ambapo taarifa zilipaswa kutumwa kwa ngazi moja baada ya ningine hali ambayo ilikuwa inachelewa taarifa lakini pia usahihi wa taarifa hizo kuto kuwa kwa uhakika.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo Afisa Elimu Ufundi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo ndugu Eugeni Ngaeje alisema kuwa Ofisi ya Rais TAMISEMI  imeamua kuleta mfumo mpya wa utoaji taarifa na takwimu kwenye shule kwa kutumia intaneti ambapo walimu wakuu sasa wataweza kutuma takwimu kila siku bila kupitia utaratibu wa kupeleka ngazi ya halmashauri, mkoani na baadae TAMISEMI.

Ngaeje alisema kuwa walimu wanapata mafunzo kwa vitendo ambapo  walimu wote 125 wamepewa vishikwambi (TABLET) kama nyenzo ya kutuma taarifa zao kila siku kwa urahisi zaidi wakiwa shuleni ambapo taarifa hizo zinahusisha maudhurio ya walimu na wanafunzi, taarifa za mapato, vipindi vilivyofundishwa, matumizi ya fedha  na taarifa zingine.

Aidha Ngaeje amewaasa walimu kutumia Vishikwambi hivyo kwa malengo kusudiwa na sio kutumia vinginevyo kama  kujiunga na mitandao ya kijamii pamoja  kufanya kazi kwa bidii kwani utumaji wa taarifa kwa mfumo huu ni wa kila siku.

Pia Ngaeje amewashauri  Walimu Wakuu wanashauriwa pia wakirudi katika vituo vyao vya kazi wawafundishe walimu wengine ili hata Mwalimu Mkuu akiondoka au kupata dharura  zoezi la utumaji taarifa lisikwame.

Akiongea kwa niaba ya walimu wakuu wengine,  Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Chilolo ndugu Haji Jafari Chipenga alisema kuwa anaishukuru Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kuanzisha mafunzo hayo ya utoaji wa taarifa na takwimu kwa kutumia njia ya kisasa ambapo walimu wote wamepewa vishikwambi ( TABLET)  kwa ajili ya kutuma taarifa kwa haraka na kwa usahihi zaidi kwani zinakuwa zinatoka kwenye chanzo husika.

Pamoja na uboreshaji huo kunauwezekano wa kupata changamoto kwa baadhi ya walimu ambao hawana uzoefu wa  matumizi ya vifaa vya Tehama ikiwemo vishikwambi hivyo kwa hatua za mwanzo baadhi ya walimu watashindwa kutuma taarifa kwa wakati kama ilivyokusudiwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa