• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAJASILIAMALI WA MAZAO YA KILIMO NA MIFUGO ZALISHENI KIBIASHARA

Posted on: August 30th, 2018

Wajasiliamali wa mazao ya mifugo na kilimo  Halmashauri ya Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara wametakiwa kuwa na mtazamo wa kuzalisha mazao hayo  kibiashara kwa kuzalisha kwa wingi na  kuyaongezea  thamani  ili kukuza uchumi lakini pia kukuza ajira kwa vijana jambo ambalo serikali ya awamu ya tano inalisistiza sana kupitia uchumi wa viwanda.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Changwa Mkwazu  (Aliyevaa nguo ya kitenge) wakati alipotembelea kikundi cha Umoja Farmers kilichopo kata ya Mpanyani  kinachojishughulisha na ukamuaji wa mafuta ya alizeti

Hayo aliyazungumza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Changwa Mkwazu wakati alipotembelea vikundi  mbalimbali vya wajasiliamali vinavyojihusisha na  ufugaji wa kuku na kilimo cha bustani katika kata za Namatutwe, lukuledi,ndanda na chikundi na kueleza kuwa ili wanavikundi waweze kujikwamua kiuchumi kwa vitendo lazima wazalishe kwa tija kwa kuangaia fursa zilizopo katika soko.

Mkwazu alieleza kuwa “ili kuendana na mahitaji ya soko uzalishaji lazima uwe wenye tija, natarajia kuona kikundi kinakuwa na kuku kuanzia 500 hapo unaweza kuona kweli wanakikundi wanaweza kuongeza kipato kupitia mradi huu sio kuku 40 wanaikundi 10 huo sio ujasiliamali ninaoutaka mimi”

Wanakikundi  wa kata ya Namatutwe wanaojihusisha  na ufugaji wa kuku na wadau wa maendeleo  wakisikiliza maelezo ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Changwa Mkwazu wakati alipotembelea kikundi hicho

Kikundi  kinapopata mkopo Halmashauri lazima utumike kwenye mradi uliokususdiwa na sio kuanza kufanya biashara zingine tofauti na mradi ulioombewa mkopo, hii inasababisha kikundi kutokuwa na miradi ambayo ina tija na hivyo kutofikia malengo ya serikali ya kukuza uchumi kwa wanavikundi ambao ni akina mama na vijana kupitia ujasiliamali.

Mkwazu ameeleza kuwa, baadhi ya wanavikundi wanafanya ujasiliamali wa  kizamani yaani malengo yao hayalengi kutumia njia za kisasa kama njia kuu ya kuzalisha kwa wingi na ubora unaoendana na mahitaji ya soko ili kukuza uchumi wa wanakikundi, ni vema sasa mbadilike tumieni wataalamu waliopo kupata ushauri laini pia muwe na mitazamo ya mbali ikiwemo kuzalisha kwa wingi na kuanzisha kiwanda kulingana na malighafi mnayozalisha.

Mafuta ya alizeti yanayotengenezwa na kikundi cha Umoja Farmers kilichopo Kata ya Mapanyani

Kwa upande wa miradi ya jamii  ambayo vimewezeshwa miundombinu hususani ya mashine za kukamulia mafuta na mhogo  Mkwazu amewakumbusha kuwa ni vema wakatunza miundombinu hiyo kwa kuifanyia matengenezo ili iendelee kutumika lakini pia kufikia hatua kununua malighafi kwa wananchi ili wananchi waweze kunufaika na mradi badala ya kusubiri serikali kuwafanyia kila kitu.

Kikundi cha Liputu kinachojihusha na kilimo cha bustani kinachotumia  umwagiliaji wa matone  kata ya Ndanda

Aidha Mkurugenzi amelishukuru shirika la Agha khan kwa ushirikiano wanaofanya katika kusaidia vikundi vya ufugaji na kilimo kwa kutoa elimu ya masoko na uzalishaji kibiashara ambapo elimu ya kutumia pembejeo ya kilimo na mifugo ikiwemo mbegu bora na madawa ya kuzuia magonjwa inatolewa kwa wajasiliamali hao na matunda yanaonekana.

Afisa ugani wa Kata ya Namatutwe  Silaji Magambo akitoa maelezo ya kikundi cha ufugaji kuku wakati wa ziara ya kutembelea viundi hivyo

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa