• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WADAU WA ELIMU WAKUTANA KUJADILI CHANGAMOTO ZA ELIMU HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

Posted on: February 4th, 2021

Halmashauri ya wilaya ya Masasi leo tarehe 04/02/2021 imefanya kongamano kubwa ambalo limekutanisha wadau mbalimbali wa Elimu wanaopatikana ndani ya Halmashauri hiyo kwa lengo la kujadili na kuzitafutia ufumbuzi changamoto mbalimbali zinazoikumba sekta ya Elimu ndani ya Halmashauri hiyo,

Akifungua kongamano hilo Mh. Ibrahimu Chiputula ambaye ni mwenyekiti wa Halmashauri na Diwani wa kata ya Mpeta ndiye aliyekuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo alikuwa na haya ya kusema kwa wajumbe 'NIkiwa kama mwenyeki wa Halmashauri nililazimika kukaa na maafisa elimu wote pamoja na Mkurugenzi na kuandaa kongamano hili ili kuwaleta wadau wote pamoja na kujadili changamoto hizi kwa pamoja na kutafuta namna ya kuzipatia ufumbuzi wa kina na hatimae Halmashauri yetu iweze kusonga mbele katika sekta ya Elimu,

katika mjadala huo changamoto mbalimbali ziliweza kujadiliwa ikiwemo changamoto ya baazi ya wazazi kuwakata watoto wao wasifanye vizuri katika mitihani yao ya mwisho ili wasifaulu kwa kisingizio cha kukosa uwezo wa kusomesha watoto wao, lakini pia kuna changamoto ya wazazi kwenda mpaka mashuleni kuwasubiri watoto wao nje siku ya mitihani ya taifa kwa lengo la kuwafanyia sherehe kitendo ambacho kinamfanya mwanafunzi asifanye vizuri kwa kuwazia sherehe anapokuwa kwenye chumba cha mtihani, wazazi kushindwa kuchangia chakula kwa watoto wao, kukosekana kwa ushirikiano wa kutosha kati ya wazazi, jamii na shule, lakini pia upungufu mkubwa wa walimu hasa wa masomo ya sayansi.

Mwisho wa kongamano hilo wadau hao waliondoka na maazimio mbalimbali yaliotokana na changamoto hizo kwa lengo la kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia katika sekta hiyo ya Elimu ndani ya Halmashauri ya wilaya ya masasi.

Afisa Elimu Msingi Bi. Elizabeth Mlaponi ambaye pia alikuwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi akichangia na kufafanua baazi ya hoja zilizoibuka katika mjadala mkali uliokuwa ukiendelea wakati wa kongamano hilo (wa kwanza kwenye picha)

Afisa Elimu Sekondari Ndugu.Ally Nyambate nae akitoa mchango wake mbele ya wadau wa Elimu juu ya changamoto mbalimbali zinzoikabili secta ya Elimu na namna ya kuzitafutia ufumbuzi ili Halmashauri ya wilaya ya Masasi iweze kusonga mbele.

Afisa Taaluma wa Halamshauri ya wilya ya Masasi Ndugu, Rajabu akitoa taarifa ya Elimu Msingi kwa niaba ya Afisa Elimu Bi. Elizabeth Mlaponi wakati wa kongamano la wadau wa Elimu lililofanyika leo kwa lengo la kujadili changamoto mbalimbali za Elimu zinazoikabili Halmashauri ya Wilaya ya Masasi na kuzitafutia ufumbuzi wa pamoja.

kwa taarifa zaidi juu ya ripoti hiyo kwa Idara ya Elimu Msingi  pakuwa kablasha hili hapa..RIPOTI YA ELIMU MSINGI.doc

Afisa Takwimu na Vifaa wa Halmashauri ya Wilaya Masasi Ndugu.Shabani Kinyongo akitoa ripoti ya Elimu sekondari kwa niaba ya Afisa Elimu katika kongamano la wadau wa Elimu lililofanyika Mbuyuni katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi la kujadili changamoto za Elimu..

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi ina jumla ya shule za sekondari 29. Kati ya hizo shule 27ni za serikali na shule2 ni za binafsi. Shule 23 zina wanafunzi wa kidato cha Kwanza mpaka cha Nne, shule 4 zina wanafunzi wa kidato cha Kwanza mpaka kidato cha tano, shule1 ina kidato cha tano na sita.

Kwa taarifa zaidi kwa Elimu sekondari angalia kablasha hili.... RIPOTI YA ELIMU SEKONDARI.doc

Mgeni rasmi Mh. Ibrahimu Issa Chiputula pamoja na wadau wengine Meza kuu wakitoa zawadi za vyeti Maalumu na pesa taslimu  kwa shule mbalimbali zilizofanya vizuri katika mitihani ya Taifa ya upimaji wa Darasa la Nne pamoja na Mitihani ya Taifa ya kumaliza Elimu ya Msingi kwa Mwaka 2019/2020 ambapo matokeo ya shule hizo ilikuwa kama ifuatavyo

  •  

5 .1. Shule 10 bora:

5.1.1 Jedwali Na.9:          (a) linaonesha shule 10 zenye ufaulu mzuri Kihalmashauri

NA.

JINA LA SHULE

WALIOFANYA MTIHANI

WALIOFAULU

NAFASI YA WILAYA (122)

NAFASI KIMKOA (630)

NAFASI KITAIFA

WASTANI WA UFAULU (250)


WV

WS

JML

WV

WS

JML



1

Mkalapa

19

22

41

19

22

41

1
2
367

198.36


2

Mtakuja I

9

6

15

9

6

15

2
13
1077

172.06


3

Luagala

10

11

21

9

11

20

3
19
1190

170.04


4

Ndwika Mazoezi

18

30

48

17

30

47

4
20
1327

166.02


5

Lusonje

9

13

22

9

10

19

5
35
1542

161.31


6

Liputu

11

18

29

10

18

28

6
40
1743

157.34


7

Mkang'u

22

29

51

20

27

47

7
39
2047

155.62


8

Nangoo

25

54

79

25

54

79

8
47
2248

153.37


9

Mkachima

14

11

25

13

11

24

9
53
2027

152


10

Manyuli

14

16

30

12

16

28

10
56
2073

151.2


NB: Halmashauri ya Wilaya Masasi ina jumla ya shule za Msingi 131, kati ya hizo shule zilizofanya mtihani wa Kuhitimu Elimu ya Msingi ni 124.

Wadau mbalimbali  wa Elimu wakiwa kwenye Mkusanyiko wa pamoja wakati wa kujadili changamoto   mbalimbali zinazoikabili sekta ya Elimu na kujadili njia mbalimbali zitakazowezesha kutatua changamoto hizo na hatimaye kuinua kiwango cha Elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa