• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Uzazi wa Mpango chachu ya maendeleo Masasi

Posted on: April 24th, 2018

Moja ya sababu inayopekelea umasikini katika jamii ni ongezeko la watoto kwenye kaya bila kuzingatia uwezo wa kuwapa mahitaji ya msingi ikiwemo chakula, afya na mengine. Ndio maana serikali kupitia wadau mbalimbali ya walianzisha huduma ya uzazi wa mpango ili kusaidia kupunguza vifo kwa akina mama wajawazito sambamba na kuboresha afya ya mama na mtoto.

Utoaji wa huduma bora za jamii kama elimu, miundombinu na huduma za afya zimakuwa zikilega lega kutokana na uwinao mdogo katia ya idadi ya watu na uwezo wa serikali. 

Kutokana na sababu hiyo serikali kupitia taasisi ya Intrahealth imeaua kuoa elimuv  ya uzazi wa mpango na faida zake   katika kuleta maendeleo katika kaya na jamii kwa  Wah. Madiwani na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi ili waweze kuwa mabalozi kwa wananchi katika kutekeleza mpango huu.

Uzazi wa mpango ni chachu ya kupunguza umaskini katika kaya (Household poverty) kwa kumwezesha mama kupata muda wa kushiriki shughuli za maendeleo, hupunguza vifo vya wajawazito kwa asilimia 43 (43%) kulinga na tafiti zilizofanyika ambapo wajawazito 556 kwa kila vizazi hai 100,000 wako hatarini kupoteza maisha sawa na wajawazito 24 kila siku, na hutoa muda wa kutosha katika malezi na huduma (mavazi,shule n.k).

“Mkoa wa Mtwara Kwa mwaka 2014 – 2016 ulikuwa na vifo vya wajawazito 200, vifo 33 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Masasi sawa na asilimia 17 (17%) ya vifo vyote,” alisema Ndg. Msafiri Swai mwezeshaji wa mafunzo hayo kutoka IntraHealth.

Wah. Madiwani mara baada ya mafunzo hayo wanatakiwa kwenda katika maeneo yao ya utawala na kuwahimiza wananchi kutumia njia ya uzazi wa mpango kulingana na mpango mkakati wa kitaifa wa huduma ya afya ya uzazi, watoto na vijana (OnePlan II ) wa mwaka 2016-2020 ili nyongeza ya watu iendane na uwiano wa rasilimali (ardhi) na huduma (elimu, afya, maji n.k).

 “Ni asilimia 38% tu ya watanzania wanaaotumia njia za uzazi wa mpango, wakati lengo la Taifa ni kufikia asilimia 45 ifikapo mwaka 2020, Mpango wa kitaifa wa huduma za afya ya uzazi, watoto na vijana (OnePlan II) wa mwaka 2016 – 2020 unahimiza matumizi ya uzazi wa mpango wa muda mrefu .”alisema Msafiri Swai.

Uzazi wa mpango ni progamu mtambuka ya kimaendeleo na sio ya idara ya afya pekee, hivyo Wajumbe wa Halmashauri (Wah. Madiwani na Wakuu wa Idara na Vitengo) wahakikishe fedha kwa ajili ya huduma za uzazi wa mpango zimetengwa katika bajeti ya mwaka 2018/19 na hususani upatikanaji wa vifaa vya njia ya kitanzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa