• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

USHIRIKI MDOGO WA JAMII KWENYE MIRADI YA MAENDELEO NI KIKWAZO KWENYE UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WAKATI

Posted on: June 2nd, 2017

Wananchi wa Halamashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara wametakiwa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao  kwa kuchangia asilimia ishirini kama sheria inavyoelekeza ili  kuepuka uwepo wa miradi viporo lakini pia kuhakikisha miradi inatekelezeka kwa wakati kama ilivyopangwa.

Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo bibi Changwa M Mkwazu wakati wa ukaguzi wa miradi ya maendeleo ili kuona utekelezaji wake kama unafanyika kwa kuzingatia viwango na mda uliopangwa na kujionea kuwa miradi mingi inachelewa kutokanana na wananchi kushiriki katika miradi hiyo kwa kusuasua.

Changwa alieleza kuwa halmashauri imejiwekea mpango wa kushirikisha wananchi kwenye  miradi mingi ya ujenzi  ambapo wananchi wanahusika kujitolea kufanya kazi zinazohitaji nguvu na nguvu kazi kama kusomba mchanga, kuchimba shimo au msingi kuchota maji na kusaidiana mafundi wakati wa kujenga lengo kiwa ni kuongeza umiliki wa mradi kwa jamii lakini pia kuipunguzia serikali mzigo wa kutekeleza miradi kwa asilimia mia moja.

Aidha katika ukaguzi huo miradi mingi haijakamilika kutokana na wananchi kutotimiza wajibu wao hali inayopelekea miradi mingi kutokamilika wa wakati alisema mkurugenzi

Changwa  alisema “kuna haja ya kupita kila wakati kukagua miradi hii maana bila hivyo tatizo la miradi kutokamilika kwa wakati halitaishaisha, lakini pia watendaji wanaosimamia miradi hiyo watachukuliwa hatua kwa kushindwa kuhamasisha jamii kujitolea nguvu zao kwenye miradi”

Kwa uande wake Afisa Mipango wa halmashauri hiyo Ndugu Jeremia Lubeleje alisema kuwa watendaji ngazi ya kata na vijiji wanapaswa kufahamu kuwa wao ndio viongozi na wanatakiwa kuhakikisha wananchi wanashiriki kikamilifu katika miradi hiyo ili iweze kutumika kwani miradi inayokaguliwa sasa mingini ya  ugenzi wa vyoo mashuleni hivyo ni  mhimu ikakamilika haraka ili wanafunzi wawe na mazingira mazuri ya kusomea.

Lubeleje aliema kuwa kutokana na hali hiyo Baadhi ya miradi inàtekelezwa kwa kasi ndogo na haikamiliki kutokana na Jamii kutotoa mchango wao katika utekelezaji wa mradi.

Ni Vema jamii ikatambua Kuwa miradi inayotekelezwa kwenye maeneo yao ni kwa faida yao wenyewe hivyo ni bora kushiriki kikamilifu na kwa moyo ili miradi inàyotetwa iweze kukamilika na kuleta manufaa yaliyokusudiwa

Katika ziara hiyo ya ukaguzi wa miradi, miradi ambayo ilikagualiwa ni ya ujenzi wa vyoo, madarasa, majengo ya afya, na majengo ya utawala ambayo imepelekewa fedha kwa mwaka 2016/ 2017 na ili kuona utekelezaji wake.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa