• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya Masasi

Posted on: July 31st, 2024

Halmashauri ya Wilaya Masasi leo julai 31/2024 imefanya uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na Wenyeviti wa Kamati za kudumu za Halmashauri hiyo huku Uchaguzi huo sasa umeongeza matumaini makubwa ya kiutendaji katika kusimamia utekelezaji wa Shughuli mbalimbali za Halmashauri katika Mwaka mpya wa fedha 2024/2025.

Mheshimiwa Diwani wa Kata ya Chigugu Bi.Amina S.Mpandula amechaguliwa tena kuendelea kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo kwa kura za ndio 38 zilizopigwa, Kati ya  Wajumbe 43 wa baraza la Madiwani ambao walikuwepo, na Wajumbe 3 hawakuwepo Kabisa kutokana na udhuru mbalimbali.

Edith Shayo mwakilishi Kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara akitangaza matokeo hayo kwa niaba ya Katibu Tawala wa Wilaya ya Masasi Fatma Kubenea, amesema kanuni ya uchaguzi inaelekeza vyama vya Siasa kupeleka majina ya wagombea wao lakini mpaka sasa anabarua Kutoka Chama kimoja tu Cha Mapinduzi (CCM) na barua hiyo ilikuwa ni ya tarehe 29/07/2024 inayohusu uwasilishaji wa jina la mgombea kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Masasi.

Amesema jumla ya Wajumbe wote wa baraza ni 46, "na waliohudhuria kwa leo wapo 43, na wajumbe waliopiga kura ni 38, na kura zote ni za ndio, na hakuna kura iliyoharibika wala kura ya  hapana, hivyo kwa niaba ya Katibu Tawala wa Wilaya Masasi napenda kumtangaza Bi.Amina Mpandula kuwa ndiye mshindi wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri"

Kwaupande wake Bi.Amina S.Mpandula ambaye ndiye mshindi kwa nafasi hiyo ya Makamu Mwenyekiti ameendelea kuwashukuru Wajumbe wote ambao bado wameendelea kumchagua tena kuendelea na nafasi hiyo ya Makamu Mwenyekiti na hivyo anahaidi kufanya nao kazi kwa pamoja ili kuendelea kuipatia Maendeleo Halmashauri ya Wilaya Masasi.

Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti unaendeshwa kwa mujibu wa kanuni ya uendeshaji wa vikao vya Halmashauri zilizotangazwa kwenye gazeti la Serikali na.252 la tarehe 28/07/2017 kupitia kanuni ndogo 6,1A zinazoelekeza kuwepo kwa baraza la mwaka ambapo moja ya majukumu yake ni kufanya uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti pamoja na Shughuli nyinginezo.

Na.Winifrida Ndunguru

........Masasi DC

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa